Lord OSAGYEFO
JF-Expert Member
- Feb 19, 2021
- 3,086
- 4,881
Hebu jiulize kila mwaka bajeti ikisomwa watu wengi wanaisifia lakini ukifika muda wa utekelezaji vijisababu vingi sana mara Covid 19 mara vita vya urussi na ukraine kitakachotekelezwa katika bajeti ni kodi tu na vitu vichache kama elimu bure lakini suala la serikali kubana matumizi kwa safari na matumizi ya magari ni gumu sana labda ingepunguza magari yake ya kifahari kwa viongozi wake kwa kuwauzia.
Pia misafara ya viongozi imekuwa mikubwa sana nayo ni tatizo katika kubana matumizi.
Mishahara kwa viongozi walioenguliwa kuendelea kulipwa kabla ya kuenguliwa huo nao ni wizi mkubwa.
Kuwalipa mishahara na posho Wabunge 19 wasio na sifa ya kuwa wabunge kwa mujibu wa katiba huko nako ni matumizi makubwa ya fedha za serikali.
Pia misafara ya viongozi imekuwa mikubwa sana nayo ni tatizo katika kubana matumizi.
Mishahara kwa viongozi walioenguliwa kuendelea kulipwa kabla ya kuenguliwa huo nao ni wizi mkubwa.
Kuwalipa mishahara na posho Wabunge 19 wasio na sifa ya kuwa wabunge kwa mujibu wa katiba huko nako ni matumizi makubwa ya fedha za serikali.