Alishasoma ramani nzima.MO alijua tu hatuna namna ya kutoboa
Full time Uganda1-Tanganyika 0
Muhindi mjanja mjanja,alijitengenezea headline huku akijua hamna kituAlishasoma ramani nzima.
Mechi tatu wamefunga goli moja tu. Kocha Mgunda wa Coastal Union kweli kaucheza mdomoni
Tayari,kilichobaki nadhani nikucheza mshindi wa 3 tu na Kenya,wamepigwa 1-0Washatolewa tayari
Hiyo picha haitoshi kujustfy ukweli au uwongo wako.Ukiwa huna taarifa sahihi uwe unakaa kimya sio kuzungumza uongo na vitu usivyovijua
Watu walipewa hesabu yao View attachment 1287759
Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
Mo ni wa kupuuzwa...tuAlishasoma ramani nzima.
Mechi tatu wamefunga goli moja tu. Kocha Mgunda wa Coastal Union kweli kaucheza mdomoni
Hakuna mtu mbaguzi kama ngozi nyeusi (black heads)Ujanja ujanja mwingi Sana hawa wahindi
Hakuna mtu asiyependa ukweli kama ngozi nyeusi
Umezoea kudanganywa sana boss huo ni ukurasa rasmi wa simba Sports Club wadanganye wapate ninuHiyo picha haitoshi kujustfy ukweli au uwongo wako.