BUBERWA D.
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 2,293
- 1,170
Ni mtizamo tuu! Nikija hapo ini full command utatoweka.Njoo hapa city pub nikununulie supu upate nguvu za kuramba miguu hao mataahira wenzenu
Ni mtizamo tuu! Nikija hapo ini full command utatoweka.Njoo hapa city pub nikununulie supu upate nguvu za kuramba miguu hao mataahira wenzenu
"kuramba" ndiyo nini hicho.Afadhali ya vijana wa bavicha kuliko nyinyi uvccm ambao kazi yenu ni kuramba viatu vya chakubanga
"kuramba" ndiyo nini hicho.
Ni mtizamo tuu! Nikija hapo ini full command utatoweka.
Umefikiria kichawi sanaNimemsikia Fatma Karume kupitia kipindi cha BBC Dira ya Dunia akisema baada ya kufanyiwa figisu na kusimamishwa uwakili anatarajia kuingia kwenye siasa bila kutaja atajiunga na chama gani.
Ndipo sasa natafakari kama Zitto amefanikiwa kumshawishi Tundu Lissu kujiunga ACT Wazalendo na kama atafanikiwa kumleta Shangazi na tayari anaye Jussa basi hiyo combination itakuwa ni moto wa kuotea mbali.
Maendeleo hayana vyama!
Kwa hisani ya marofa aka nyumbuACT CCM B
Mumuache baba wa watu alikipigania chama chake nanyie anzisheni vya kwenuHiyo itakuwa timu hatari sana . Tuombe iwe hivyo! Chadema tumwachie Mbowe maana anajimilikisha na kujifanya hakuna kama yeye. Sifa mojawapo ya dikteta ni kuwaaminisha watu kuwa hakuna kama yeye .
Ndo nini?Once kijani always kijani... akija kwenu ni mtego. Jifunzeni na kuwa ni makini.
Usipoelewa maana yake haikuhusu.Ndo nini?
Hiyo itakuwa timu hatari sana . Tuombe iwe hivyo! Chadema tumwachie Mbowe maana anajimilikisha na kujifanya hakuna kama yeye. Sifa mojawapo ya dikteta ni kuwaaminisha watu kuwa hakuna kama yeye .
mnajaribu kuibomoa CDM kwa nguvu zote lakini bado mnafeli.