Mbunge huyo wa Jimbo la Ilemela ameyasema hayo katika mkutano wa kampeni uliofanyika jioni ya leo katika viwanja vya Ibanda ya juu- Kata ya Kirumba saa 11:27 jioni ya tarehe 22.03.2012.
Kasema toka awe mbunge Katika Kata hiyo anahangaika na matatizo ambayo yana miaka 50 yeye anapokutana nayo hushughulikia ndani mda mchache,akatolea mfano wa suala la madawati katika shule za msingi na sekondari alikuta mchango dawati moja Tsh 80,000/= na ameupunguza mpaka elfu thelathini.
Miundo mbinu ilikuwa mibovu lakini kwa sasa barabara nyingi zinapitika hasa milimani ambako wanakaa wapiga kura wengi ndani ya Jimbo lake.
Amesema huwa hana utani kwenye suala la maendeleo. Amesema anakutana na changamoto nyingi sana na anajitahidi kukambiliana nazo sababu yeye yupo kwa ajili ya kuwatetea wana Ilemela kuyasemea bungeni ambako anamini kuwa ndio kwenye majawabu ya kero za Wananchi wa Ilemela.
Katika hatua nyingine amemshangaa mbunge wa Rorya kwa kitendo chake cha kumpigia kelele jimboni kwake kwa kumwambia yeye si kero za wanarorya na kumtaka awasee wanarorya pindi akiwa bungeni huwa hasemi chochote na kudai kaingia bungeni ili kufanya biashara zake na si kuwatetea wananchi wake.
Akawaambia wanakirumba kuwa kama mbunge huyo ameshindwa jimbono kwake ataweza kushughulia mambo ya Kirumba?
Mbunge huyo alienda mbali na kusema endapo CCM itashinda Kirumba atajiuzuru Ubunge lakini Wananchi waliokuwa mkutanoni walimwambia asiwe na wasiwasi sababu huwa wanaformula moja tu kwenye Uchaguzi katani kwao ya kwamba.
"Huwa wanatia stori CUF,Wanakula CCM na Huwa wanapiga kura kura CHADEMA"...... sababu chadema wana MUNGU na CCM wanapesa.........na CCM Mwanza ilshakufa na kuzikwa kwenye masanduku ya kura tangu mwaka 2010 wanachokwenda kufanya ni kutimiliza maandiko tu.
Kutoka uchaguzi mdogo wa Udiwani kata ya Kirumba nawasilisha......................
Kasema toka awe mbunge Katika Kata hiyo anahangaika na matatizo ambayo yana miaka 50 yeye anapokutana nayo hushughulikia ndani mda mchache,akatolea mfano wa suala la madawati katika shule za msingi na sekondari alikuta mchango dawati moja Tsh 80,000/= na ameupunguza mpaka elfu thelathini.
Miundo mbinu ilikuwa mibovu lakini kwa sasa barabara nyingi zinapitika hasa milimani ambako wanakaa wapiga kura wengi ndani ya Jimbo lake.
Amesema huwa hana utani kwenye suala la maendeleo. Amesema anakutana na changamoto nyingi sana na anajitahidi kukambiliana nazo sababu yeye yupo kwa ajili ya kuwatetea wana Ilemela kuyasemea bungeni ambako anamini kuwa ndio kwenye majawabu ya kero za Wananchi wa Ilemela.
Katika hatua nyingine amemshangaa mbunge wa Rorya kwa kitendo chake cha kumpigia kelele jimboni kwake kwa kumwambia yeye si kero za wanarorya na kumtaka awasee wanarorya pindi akiwa bungeni huwa hasemi chochote na kudai kaingia bungeni ili kufanya biashara zake na si kuwatetea wananchi wake.
Akawaambia wanakirumba kuwa kama mbunge huyo ameshindwa jimbono kwake ataweza kushughulia mambo ya Kirumba?
Mbunge huyo alienda mbali na kusema endapo CCM itashinda Kirumba atajiuzuru Ubunge lakini Wananchi waliokuwa mkutanoni walimwambia asiwe na wasiwasi sababu huwa wanaformula moja tu kwenye Uchaguzi katani kwao ya kwamba.
"Huwa wanatia stori CUF,Wanakula CCM na Huwa wanapiga kura kura CHADEMA"...... sababu chadema wana MUNGU na CCM wanapesa.........na CCM Mwanza ilshakufa na kuzikwa kwenye masanduku ya kura tangu mwaka 2010 wanachokwenda kufanya ni kutimiliza maandiko tu.
Kutoka uchaguzi mdogo wa Udiwani kata ya Kirumba nawasilisha......................