Highest Paid Political Leaders in the World

Kwa kulinganisha na pato la taifa lao, Raila Odinga ndie kiongozi anaelipwa mshahara mkubwa kwa mwaka. Anatia kibindoni dola 412,000 wakati GDP yao haizidi dola elf mbili.

Ikumbukwe Rais Obama anapokea dola 400,000 na Hu Jintao Rais Wa China anapata dola 11,000 tu kwa mwaka.

Kwa mtindo huu wa kujilipa fedha nyingi nafikiri ndio sababu viongozi wa KIAFRIKA wanakua wagumu kuondoka.

SOURCE: ALJAZEERA
EXCHANGE RATE: DOLA MOJA =1560

I seriously doubt this! Yaani apewe mshahara mkubwa kuliko raisi wake? Utakaenibishia tafuta data juu ya kodi ambayo wabunge wa Kenya walilazimishwa kulipa majuzi tu na ulinganishe na hoja hii.
 
attachment.php
 
Hapa sijaelewa jamani ,do you mean Raila anakula kikubwa kuliko Obama?
 
Kenya leader rejects his pay hike
_40332417_kibaki_ap203body.jpg
Mr Kibaki came to power promising to fight poverty
Kenya's President Mwai Kibaki has rejected an $18,000 monthly salary increase given to him by parliament.He said he had turned down the offer because "there are other priority projects in need of urgent funding".
Last week, MPs agreed to raise his basic pay and allowances from $26,000 a month to more than $44,000.
Critics and opposition politicians had objected to the president's salary hike, as 60% of Kenya's population of 32m live on only $1 a day.

SOURCE: BBC NEWS | Africa | Kenya leader rejects his pay hike

Kenyan paliamantarians are wajanja. they are doing that to make him sign their salary increments. Most paliamentarians are on scorched the earth exit from leadership.
 
Asee huyu wa magogoni
anakula bei gani?

Tanzania tunayo usiri mkubwa kuhusu pato/mali ya viongozi. Kenya mambo yote hadharani.Tazama makala who owns kenya (citizen tv) kila jumapili baada ya taarifa ya habari ya kingereza.
 
Ponsho nyingi...Nina rafiki yangu yuko seriaklini juzi hapa idara yao ilikuwa siku ya michezo...kwenda michezoni ni 20,000....kalipwa hapo hapo akaondoka hata aerobics hakufanya
Mkuu hiyo posho ni 20,000 au 200,000?
 
Uongozi Africa sio utumishi bali ni namna ya kujiwekezeA mihera
Mkuu ndio maana Africa hatuendelei hata kidogo pamoja na resources tulizonazo. Kuna maendeleo ya mtu mmojammoja badala ya maendeleo ya pamoja kinchi. viongozi wanajinufaisha na kuwaacha watawaliwa hoi! Nchi za wenzetu watu wanatafuta uongozi ili wawatumikie wenzao na kuwaletea maendeleo lakini wa kwetu wanatafuta uongozi ili ajitumikie na kujiletea maendeleo wao wenyewe.
 
  1. Lee Hsien Loong - Prime Minister of Singapore - Annual Salary US$ 2,856,930
  2. Donald Tsang - CEO of Hong Kong - Annual Salary US$ 513,245
  3. Raila Odinga - Prime Minister of Kenya - Annual Salary US$ 427,886
  4. Barack Obama - President of United States - Annual Salary US$ 400,000
  5. Nicholas Sarkozy - President of France - Annual Salary US$ 345,423
  6. Stephen Harper - Prime Mionister of Canada - Annual Salary US$ 296,400
  7. Mary McAleese - President of Ireland - Annual Salary US$ 287,900
  8. Julia Gillard - Prime Minister of Australia - Annual Salary US$ 286,752
  9. Angela Merkel - Chancellor of Germany - Annual Salary US$ 283,608
  10. Prime Minister of Japan - Annuall Salary US$ 273,676

This information is bald and invalid. Where is Kibaki?, where is the head of public service?, where is the vice president? Give us real stats. PLS.
 
  1. Lee Hsien Loong - Prime Minister of Singapore - Annual Salary US$ 2,856,930
  2. Donald Tsang - CEO of Hong Kong - Annual Salary US$ 513,245
  3. Raila Odinga - Prime Minister of Kenya - Annual Salary US$ 427,886
  4. Barack Obama - President of United States - Annual Salary US$ 400,000
  5. Nicholas Sarkozy - President of France - Annual Salary US$ 345,423
  6. Stephen Harper - Prime Mionister of Canada - Annual Salary US$ 296,400
  7. Mary McAleese - President of Ireland - Annual Salary US$ 287,900
  8. Julia Gillard - Prime Minister of Australia - Annual Salary US$ 286,752
  9. Angela Merkel - Chancellor of Germany - Annual Salary US$ 283,608
  10. Prime Minister of Japan - Annuall Salary US$ 273,676

Mkulu hii umeitoa wapi nasi tuisome zaidi?
 
Tanzania hata choo anayotumia rais ni siri, itakuwa mshahara?
Na hapa ndipo wizi mkubwa wa hazina yetu unapotokea, kisha utasikia watu wakilia kuwa kuna wafanyakazi hewa. Katika usiri huu watakosekana wapi??
 
Aiseee...ckutegemea m2 aliyekuwa anataka kuwa rais kukubal kupokea mshahara wake kama huu yl nch yake kuna wananchi wanaish chn ya dola 1.5 na uchumi japo upo juu E.africa na jamaa ana Esate kubwa sana kenya,supermarket share ya mafuta libya atleast angeonea huruma wanchi wake na huu n mda wa kujfunza rais gan atakuwa anafaa kupewa nafas ya kututawala
 
This information is bald and invalid. Where is Kibaki?, where is the head of public service?, where is the vice president? Give us real stats. PLS.

Kuna mtu kasema hapo juu, Kibaki analamata 26,000$ per month, so do the needed!
 
Mkuu ndio maana Africa hatuendelei hata kidogo pamoja na resources tulizonazo. Kuna maendeleo ya mtu mmojammoja badala ya maendeleo ya pamoja kinchi. viongozi wanajinufaisha na kuwaacha watawaliwa hoi! Nchi za wenzetu watu wanatafuta uongozi ili wawatumikie wenzao na kuwaletea maendeleo lakini wa kwetu wanatafuta uongozi ili ajitumikie na kujiletea maendeleo wao wenyewe.
hwz klt maendeleo ya wnzk wkt ww huna ki2. Charity begins at hm
 
Akaulize kenya. Ila odinga analipwa zaidi ya rais wa marekani na hilo hata mie nlishasikia kabla. Odinga analipwa k2 km dola 38,000 kwa mwezi
 
Kenya leader rejects his pay hike
_40332417_kibaki_ap203body.jpg
Mr Kibaki came to power promising to fight poverty
Kenya's President Mwai Kibaki has rejected an $18,000 monthly salary increase given to him by parliament.He said he had turned down the offer because "there are other priority projects in need of urgent funding".
Last week, MPs agreed to raise his basic pay and allowances from $26,000 a month to more than $44,000.
Critics and opposition politicians had objected to the president's salary hike, as 60% of Kenya's population of 32m live on only $1 a day.

SOURCE: BBC NEWS | Africa | Kenya leader rejects his pay hike

wa magogoni angeikataa?
 
Back
Top Bottom