rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 15,190
- 20,156
Umesahau goli la mkono au alivyoingilia maamuzi ya rufaa ya simba dhidi ya KageraSimba anacheza mpira wa pasi nyingi ili kupata matokeo Yanga mipango mchezoni na siyo hivyo ulivyofikiri wewe. Yan hatuchezi kama nyie sijui mpira utoke kwa kipa then beki mara midfield ndio ufike kwa wafungaji.
Yan callibre ya mpira wa Yanga siyo show off ndio nilichomaanisha Feisal anaweza akapiga ndefu ikamfikia Mukoko au Kisinda akaweka.
Umenishangaza sana mpaka leo unaamini Malinzi alikua anatubeba. Kwa iyo na sisi tuamini Karia anawabeba? Hebu badilisheni mentality bhana