Nimepitia judgements/ rulings nyingi kwa kiasi fulani, kuna kitu kimenishangaza! Judgements/ rulings ni page 2,3,4 . Mh! hukumu page 2! Nyingi ziko katika range hiyo.
Nalinganisha na za wenzao huko nyuma, kuna tatizo liko mbele yetu na hii ilianza wakati wa Kikwete , na sasa Magufuli kuweka majaji bila merits, kwa upendeleo.
Sijui division zingine kukoje, sijasoma.
I was interested in Land cases!
Nalinganisha na za wenzao huko nyuma, kuna tatizo liko mbele yetu na hii ilianza wakati wa Kikwete , na sasa Magufuli kuweka majaji bila merits, kwa upendeleo.
Sijui division zingine kukoje, sijasoma.
I was interested in Land cases!