Hifadhi ya Selous ina utajiri wa madini unaoweza kuwaondoa Watanzania kwenye ufukara na umaskini

Uwanja wa ndege upi ukubwa wake?
Wasikuumize kichwa, Selous kuna sehemu ni kama Kilometers 30 kutokea barikiwa kijijini ile sehemu ukubwa wake sawa na uwanja wa ndege hapaoti nyasi wala mmea wowote hauwezi kuota pale mjerumani alichimbia chini makontena na baadhi ya Mali zake pale Ukiwa na Gps pale haiacsess chochote
 
Kwa kweli kabla sijasoma Uzi umeandikwaje....naomba kuuliza wadau......kweli Kuna idea ya watanzania kutoka kwenye ufukara katika hizo point za jamaa hapo!???
 
Wasikuumize kichwa, Selous kuna sehemu ni kama Kilometers 30 kutokea barikiwa kijijini ile sehemu ukubwa wake sawa na uwanja wa ndege hapaoti nyasi wala mmea wowote hauwezi kuota pale mjerumani alichimbia chini makontena na baadhi ya Mali zake pale Ukiwa na Gps pale haiacsess chochote
Wewe hutaki pesa nenda ukazikamate ndio utuite
 
.kumbe jamaa anabeba mizigo huko.inawezekana ikawa kweli.
Anachokiongea mtoa mada yuko sahihi.
Kwani hata mahali unapotengenezwa mradi wa bwawa la umeme huko hifadhhini inasemekana magu kayaona hayo mambo. Na kuna mali nyingi tu anazitoa huko na kujinufaisha bila ya taifa kujua.
NINACHOOMBA WATANZANIA MUKIFAHAMU.
Mbali na manufaa ya mradi wa lile bwawa magu anatoa mali kule ndani. Kuna chimbo moja mpaka sasa linalindwa na askari zaidi ya 50 kila baada ya masaa 6 wanabadilishana shift na wanaozama humo ndani ni VIP TU. nina uhakika na ushahidi juu ya hili.
 
Huu ni ubishi wa kijinga kwa taarifa yako kuna sehemu Selous kontena moja lipo toka miaka ya 70's mengine yalifukiwa chini likabaki hilo moja na mpaka Leo hilo eneo linaitwa Makontena natamani ningeingia deep zaidi na kukuonesha picha ila siwezi Fanya hivyo kwenye hili jukwaa ila kwa msaada acha ubishi wa kipumbavu kuhusu kitu ambacho hukielewi omba uelimishwe
Unatia huruma sana dogo weka picha acha upuuzi humu
 
Kwa wakazi wa maeneo Jirani na mradi wanayajua haya. Kwani kuna makontena yanayotoka hifandhini yamesheheni mizigo.
Mungu hamfichi mtu muongo. Juzijuzi tu hapa katika kijiji kimoja gari moja lilipata ajali likitoka ndani ya mradi, cha kushangaza vitu vilivyokuwa vimebebwa ni maajabu matupu.
Maskini wewe hizo mali hazina majina eti maajabu matupu mzushi wewe
 
Aisee ngoja nizame hapa selous ya Miguruwe nitokee selous ya Kingupira nipite chocho kwa chocho hadi Mloka huenda nitatoka na chochote kitu.Ijapokuwa askari pori(Magemu) wanauwa mtu yeyote wanayekutana nayo mbugani,wanapiga risasa kila 'kisuguu' wanachokutana nacho,siogopi liwalo na liwe, kufa kupona naenda kutafuta ichi kisemwacho na Sandali Ali
 
Habarini wakuu!
Leo ngoja niandike kitu ambacho huenda kitaamsha ari ya viongozi wetu.

Binafsi mimi ni mwenyeji wa mkoa wa Ruvuma(Myao) ila nimekulia na kuzaliwa Liwale (Lindi).

Ulinzi wa hifadhi ile hasa kipindi cha masika ulikuwa duni. Hii ilisababishwa na poor infrastructure (barabara). Hivyo wakazi wa vijiji vya Mlembwe, Barikiwa, Ndapata, Mpengere, Mkundi n.k walikuwa wakiingia bila hofu na kuwinda wanyama au kuvua Samaki.

Sema tu ufahamu wa wananchi juu ya utajiri wa madini ulikuwa duni , nakumbuka mwaka 2004 Mzee mmoja aliokota mawe ya thamani 3 kwenye kijito kidogo. Baadaye akayatupa 2 na kubakiwa na moja.

Aliporudi nalo kijijini ili ampe mtoto wake achezee mtu mmoja akamwambia kuwa ile ni Mali.

Wakaenda kuliuza Mtwara kwa walanguzi wakapata hela ya kujenga nyumba na kubadili mboga.

Wakarudi porini 2015 ili wakayaokote mengine wakajaza mfuko wa Rambo wakayaleta Dar , wakatapeliwa.

Imagine waliyaokota tu juu juu.
Mzee alipobembelezwa awapeleke mabrother wanaoijua pesa alikataa akikumbuka machungu ya matapeli wa Dar.

Jamaa wakaenda kwa kubahatisha mmoja aliokota jiwe ambalo aliliuza Tunduru zaidi ya milioni 100.
Sijajua siku hizi kukoje maana nilishahama huko kusini miaka zaidi ya kumi imepita.

Hizi fedha za kizamani za Wajerumani huko ukifika kwenye zile kota za Wajerumani za zamani huko porini utaziokota mpaka uchoke.

Ma skaveta yao baada ya kupigwa kwenye First World War wameyachimbia kwenye mahandaki huko.
Huenda na Dhahabu wamezichimbia huko pia.

Serikali kupitia shirika la madini ikachunguze deeply utajiri uliojichimbia ardhini huko.

Mjerumani anaipenda Selous kuliko sehemu yoyote ile duniani.
Jf ni kiwanda kidogo cha kuchakata umbea.
 
.kumbe jamaa anabeba mizigo huko.inawezekana ikawa kweli.
Waache waendelee kuniona sina akiri ila jamaa akitoka madarakani ataingia kwenye list ya kumi tajri bora africa. Makonda alikaa miaka mi3 tu katoka na mali za mjerumani mweusi wa dar. Sasa huyu wataifa zima unafikili akitoka atakuwa nani?
 
Ila kuhusu kuchimba kwenye mapori na kukuta madini inawezekana ikawa kweli.maana hii nchi mungu ameijaza vitu vya thamani SAANA huko ardhini
Waache waendelee kuniona sina akiri ila jamaa akitoka madarakani ataingia kwenye list ya kumi tajri bora africa. Makonda alikaa miaka mi3 tu katoka na mali za mjerumani mweusi wa dar. Sasa huyu wataifa zima unafikili akitoka atakuwa nani?
 
Tena sana tuu.
Ila kuhusu kuchimba kwenye mapori na kukuta madini inawezekana ikawa kweli.maana hii nchi mungu ameijaza vitu vya thamani SAANA huko ardhini
Kikubwa hatuna vipimo vya kupima nakujua chini kuna nn mpaka vijitokeze vyenyewe au waziwazi. Hauwezi hata hapo ulipokaa labda kuna mafuta au gesi chini. Ila hatuna vifaa vya kutambua hilo. Na kuhusu madini huko hifadhini ni swala la wazi kabisa.
Kuna jamaa angu nimemuonyesha hii mada na kumshirikisha ameniambia kuwa yeye pia alikuwa ni miongoni mwa wafanyakazi wakiokuwa wanapanua bwawa unaambiwa huko ndani kuna vingi tu vizuri.
Na ndio maana sasa hivi hauwezi kutoka huko ndani hata na sindano unapigwa sachi kama unaingia au kutoka mgodini.
 
Nakubaliana na wewe.
Tena sana tuu.

Kikubwa hatuna vipimo vya kupima nakujua chini kuna nn mpaka vijitokeze vyenyewe au waziwazi. Hauwezi hata hapo ulipokaa labda kuna mafuta au gesi chini. Ila hatuna vifaa vya kutambua hilo. Na kuhusu madini huko hifadhini ni swala la wazi kabisa.
Kuna jamaa angu nimemuonyesha hii mada na kumshirikisha ameniambia kuwa yeye pia alikuwa ni miongoni mwa wafanyakazi wakiokuwa wanapanua bwawa unaambiwa huko ndani kuna vingi tu vizuri.
Na ndio maana sasa hivi hauwezi kutoka huko ndani hata na sindano unapigwa sachi kama unaingia au kutoka mgodini.
 
Aisee ngoja nizame hapa selous ya Miguruwe nitokee selous ya Kingupira nipite chocho kwa chocho hadi Mloka huenda nitatoka na chochote kitu.Ijapokuwa askari pori(Magemu) wanauwa mtu yeyote wanayekutana nayo mbugani,wanapiga risasa kila 'kisuguu' wanachokutana nacho,siogopi liwalo na liwe, kufa kupona naenda kutafuta ichi kisemwacho na Sandali Ali
Bila kujitoa kafara hutoboi.
Narudia tena hutoboi
 
Mkuu hongera,umeongelea liwale umenikumbusha mambo mengi sana,nimekula sana nyama za wanyama pori huko ,nikiwa maeneo ya mirui,kiangara,kibutuka na mpiga miti,milembwe nimekaa kidogo, baadae nikahamia hangai,uko wapi kwa sasa wewe?
Niko Dar kwasasa.
Kule Liwale vijijini zamani asubuhi inachemshwa minofu ya nyati ndio chai yenyewe
 
Back
Top Bottom