Hifadhi ya Grumeti na faru John

sinafungu

JF-Expert Member
Feb 13, 2010
1,524
863
Suala la kifo cha faru John kimenifumbua macho, hivi kumbe kuna watu binafsi wanamiliki hifadhi zetu ambao ni urithi wetu? Kama huyu bw Paul Jones wa GRUMETI, INAKUWAJE ? Serikali imeshindwa kuziendesha au ndo kama lile la uuzwaji wanyama pori wakiwa hai?
 
Kwani huyo faru mwenyewe una uhakika gani kama alikufa na hakuuzwa akiwa hai, ikiwa vinasaba vilivyochunguzwa vilitoa majibu tofauti?
 
Hii ndio Tanzania nchi yetu bhana. Vyeti feki, watu feki, maisha feki, wafanyakazi hewa, takwimu zitolewazo na taasisi husika feki yaani kila kitu feki feki feki feeeeeeki. Tutafika tu
 
Hii ndio Tanzania nchi yetu bhana. Vyeti feki, watu feki, maisha feki, wafanyakazi hewa, takwimu zitolewazo na taasisi husika feki yaani kila kitu feki feki feki feeeeeeki. Tutafika tu
Umesahau pembe feki za faru John
 
Grumeti game reserve inajumuisha eneo kubwa sana likipakana na wilaya ya Serengeti na Wilaya ya Bunda.

Eneo hili halikua sehemu ya Serengeti enzi za Mwl Nyerere liliachwa kama Buffer zone ya wafugaji kuchugia mifugo na wawindaji kuwinda Wanyama.

Miaka ya tisini likawa pori tengefu wenyeji wakaruhusiwa kuwinda kwa misimu maalum pia kwa vibali maalum.

Miaka ya 2000s eneo hili likaangukia kwa Mmarekani John Paul

Mzungu huyu kwanza akauwa Mbung'o eneo hili pili akaweka miundo mbinu mingi ikiwemo ya maji kwa wanyapori.

Tatu Mmarekani huyu akaswaga makundi mengi ya wanyama toka Serengeti wakamia eneo hili.

Nne akajenga Mahotel mazuri sana. Mfano wake ni ile iliyotajwa kuwa hotel bora duniani mwaka 2013

Tano. Yuko katika hatua za kujenga international airport ili Watalii wake kwenye hifadhi yake wakija wasipate shida za JNIA au KIA.

Yane huko ndo kunamahotel ambayo ukichungulia dirishani unaona Simba au Tembo. Ukiwa Garden mala anapita Faru John. He he acha tuliwe.
 
Kwani kabla ya hata Grumeti hukuwahi kusikia habari za Mwarabu wa Loliondo ambako kuna hadi airport (zaidi ya km 3 ambazo ni standard) na hata ukiingia kwenye hilo eneo hakuna cha voda, tigo au ttcl bali mtandao wake!?
 
Grumeti game reserve inajumuisha eneo kubwa sana likipakana na wilaya ya Serengeti na Wilaya ya Bunda.

Eneo hili halikua sehemu ya Serengeti enzi za Mwl Nyerere liliachwa kama Buffer zone ya wafugaji kuchugia mifugo na wawindaji kuwinda Wanyama.

Miaka ya tisini likawa pori tengefu wenyeji wakaruhusiwa kuwinda kwa misimu maalum pia kwa vibali maalum.

Miaka ya 2000s eneo hili likaangukia kwa Mmarekani John Paul

Mzungu huyu kwanza akauwa Mbung'o eneo hili pili akaweka miundo mbinu mingi ikiwemo ya maji kwa wanyapori.

Tatu Mmarekani huyu akaswaga makundi mengi ya wanyama toka Serengeti wakamia eneo hili.

Nne akajenga Mahotel mazuri sana. Mfano wake ni ile iliyotajwa kuwa hotel bora duniani mwaka 2013

Tano. Yuko katika hatua za kujenga international airport ili Watalii wake kwenye hifadhi yake wakija wasipate shida za JNIA au KIA.

Yane huko ndo kunamahotel ambayo ukichungulia dirishani unaona Simba au Tembo. Ukiwa Garden mala anapita Faru John. He he acha tuliwe.
Hana nia mbaya ni mwekezaji kama wawekezaji wengine wa Migodi si tumelala wacha wenzetu watupige bao
 
Kwani kabla ya hata Grumeti hukuwahi kusikia habari za Mwarabu wa Loliondo ambako kuna hadi airport (zaidi ya km 3 ambazo ni standard) na hata ukiingia kwenye hilo eneo hakuna cha voda, tigo au ttcl bali mtandao wake!?
duuh kweli kuna mambo mengi yanaendelea hatuyajui
 
Suala la kifo cha faru John kimenifumbua macho, hivi kumbe kuna watu binafsi wanamiliki hifadhi zetu ambao ni urithi wetu? Kama huyu bw Paul Jones wa GRUMETI, INAKUWAJE ? Serikali imeshindwa kuziendesha au ndo kama lile la uuzwaji wanyama pori wakiwa hai?
Wengi tulikuwa tunajua Loliondo ya Mwinyi. Na ilishupaliwa vilivyo!
 
Grumeti game reserve inajumuisha eneo kubwa sana likipakana na wilaya ya Serengeti na Wilaya ya Bunda.

Eneo hili halikua sehemu ya Serengeti enzi za Mwl Nyerere liliachwa kama Buffer zone ya wafugaji kuchugia mifugo na wawindaji kuwinda Wanyama.

Miaka ya tisini likawa pori tengefu wenyeji wakaruhusiwa kuwinda kwa misimu maalum pia kwa vibali maalum.

Miaka ya 2000s eneo hili likaangukia kwa Mmarekani John Paul

Mzungu huyu kwanza akauwa Mbung'o eneo hili pili akaweka miundo mbinu mingi ikiwemo ya maji kwa wanyapori.

Tatu Mmarekani huyu akaswaga makundi mengi ya wanyama toka Serengeti wakamia eneo hili.

Nne akajenga Mahotel mazuri sana. Mfano wake ni ile iliyotajwa kuwa hotel bora duniani mwaka 2013

Tano. Yuko katika hatua za kujenga international airport ili Watalii wake kwenye hifadhi yake wakija wasipate shida za JNIA au KIA.

Yane huko ndo kunamahotel ambayo ukichungulia dirishani unaona Simba au Tembo. Ukiwa Garden mala anapita Faru John. He he acha tuliwe.

Hatari sana.
 
Back
Top Bottom