Bushmamy
JF-Expert Member
- Aug 18, 2019
- 8,848
- 15,252
Mwanamama maarufu na mrembo Hidaya Khamis Mtumwa almaarufu Hidaya wa Pepe Kalle amefariki Dunia leo asubuhi jijini Arusha, msiba upo nyumbani kwake Kaloleni.
Hidaya alitamba miaka ya mwanzoni mwa 90 baada ya mkongwe wa mziki wa Rhumba Marehemu Pepe Kalle kumtungia wimbo wa kumsifia.
Marehemu ameacha watoto watatu wa kiume.
Pia soma
Hidaya enzi za uhai wake
Hidaya alitamba miaka ya mwanzoni mwa 90 baada ya mkongwe wa mziki wa Rhumba Marehemu Pepe Kalle kumtungia wimbo wa kumsifia.
Marehemu ameacha watoto watatu wa kiume.
Pia soma
Hidaya enzi za uhai wake