Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Betina wa Sani....twi twi twi
Monkey Ngabu unaikumbuka ngome ya Mayuku?
Imebidi nicheke kwa sauti...khaaa!
Imebidi nicheke kwa sauti...khaaa!
Kwekwekwe! Tih tih tih...taratibu kaka/ dada unajua maana ya viherehere wewe?...wewe uliyesoma sana vitabu yakushindani kujua jina la mtunzi? Wanchekesha yakhe!Utanzania unawasumbua.....hii inadhihirisha hamsomi vitabu, lakini viherehere wa kuchangia kila thread.
nini kimekutekenya?
Monkey Ngabu unaikumbuka ngome ya Mayuku?
kama sikosei Hiba ya wivu kimetungwa na Zainab Mwanga ila sehemu ya kukipata ndio sijui.
Kitabu hicho kiliandikwa na Marehemu Hammie Rajab. Jaribu kukitafuta pale TPH Mtaa wa Samora karibu na Salamander ingawa sina hakika kama hilo duka na kampuni yenyewe kama bado ipo au.
Betina wa Sani....twi twi twi