Eliezar Mlwafu
JF-Expert Member
- Jan 27, 2013
- 449
- 141
Moyo wenye huruma ni dawa kwa wenye Machozi, kila aonaye thamani ya mwenzake hata wengine hufanya hivyo kwake, najua si rahic kuishi bila kikwazo ktk maisha lakini kwenye mabaya 10. likiwepo zuri 1. tafakari kuhusu hilo kwani ndilo la thamani kuliko yote. Jiwekee utaratibu wa kusamehe kila ck hata kama anayekukosea ni yule yule ck zote "MUNGU" atakulipa, bora uonekane mjinga ulimwenguni lakini mwelevu mbele za "MUNGU".