Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,471
- 23,744
nimeangalia kuanzia season 1 episode 1 - 7 ingawa season one zimetoka episodes 13 nimefanikiwa kwenye internet kupata 7 tu. kma kuna ambaye anajua nawezaje pata hizo episodes nyingine kuanzia ya 8-13 ntashukuru sana akinielekeza.
lakini pia ina season two nayo imetoka imekamilika yenyewe ina episodes 16. tuelekezane namna ya kuzipata hizi series zaidi ya kutumia index of.... then kudownload torrent. maana kwa njia hiyo ndo nimeishia kupata hizo 7 episodes tu.
lakini pia ina season two nayo imetoka imekamilika yenyewe ina episodes 16. tuelekezane namna ya kuzipata hizi series zaidi ya kutumia index of.... then kudownload torrent. maana kwa njia hiyo ndo nimeishia kupata hizo 7 episodes tu.