Hi ndiyo ilikuwa tofauti kubwa aliyoigundua Nyerere kati ya Mkapa na Kikwete mwaka 1995

Hongera uchambuzi mzuri, sema tatizo watanzania ni mazuzu! wakipewa sh10,000 na kuambiwa CCM oye basi mpaka gego la mwisho utaliona, na baada ya hapo huyo huyo mtanzania anaanza kulalamika eti serikali haitujali, eti mara ufisadi! Safari ni ndefu, Tanzania bado wajinga ni wengi!!!

Bora 10,000/= wengine wanapewa pakti ya chumvi na kugeuzwa mabango kwa kuvishwa Tshirt na kofia za CCM.
 
Hizi comparisons huwa zinamaanisha kwamba hasira zenu ni kwa JK tu lakini sio CCM.

Basi kama hivyo 2015 JK hayupo tena CCM itapeta :biggrin:
 
unaweza ukauza mali lakini ukawa na akili ya kuwakumbuka waliokuweka madarakani, ni tofauti na yule anayesema hana haja na kura za watu kwa kujua ana mbinu zake mbadala za kumuweka madarakani.
Kama Nyerere alimuamini Mkapa badala ya Kikwete, kwa nn Mkapa alimuamini Kikwete? Akamteua kugombea urais na akamkabidhi uenyekiti wa CCM? tafuta mada zenye mashiko. Elimu ya Tanzania wkt wa Mkapa mkumbuke Mungai waziri wa Elimu, Magufuri kuuza nyumba, migodi viwanda kubinafsishwa,
 

MENGINE ya MKAPA


- Kauza MAJUMBA ya SERIKALI HUKO OYSTERBAY; UPANGA; MSASANI kwa MAFISADI na MKEWE
- Kauza VIWANDA VINGI DAR ambavyo ni LABOR intensive; Vilikuwa vinaajiri Vijana Wengi wa Kiislamu na kuwapatia AJIRA sasa hao VIJANA hawana AJIRA; wanapatiwa Msaada wao na FAMILIA yao na SHEIKH PONDA... GAP kati ya WALIO nacho na WASIO nacho IMEONGEZEKA MARA DUFU
- Kampeleka Mwl. Nyerere Hospitali isiyo na Mabingwa ili AFE aweze kutawala na KUIBA kiurahisi
- Kasaini MIKATABA MIBOVU ya MADINI kwa SHINIKIZO la IMF na WORLD BANK
- Ni MNAFIKI MKUBWA na MFUPI
 
nakubaliana na wewe kuwa mkapa alikuwa mtendaji si mwanasiasa. Ndiyo sababu alisimamia alichoamini kuwa sahihi hata kama baadaye kikaonekana si sahihi. A leader has to make a decision not follow a decision!!. Tukio moja ambalo mpaka hii leo nampa heshma mzee mkapa ni pale alipokataa kupandisha mishahara ya watumishi wa umma kwa hoja za msingi ambazo wafanayakazi waliridhika nazo alisema hivi:-
ninatakapopandisha mishahara mfumuko wa bei utaongezeka na hiyo mishahara itaonekana haina msaada. Jamba ninalofanya ni kudhibiti mfumuko wa bei hili hiyo mishahara kidogo ninayotoa iweze kukidhi mahitaji yenu. Hapo alisema alichoamini ni sahihi na baada ya miaka kadhaa kilidhihirika kuwa ni cha msingi. Thats what a leader s made of!! Jk alipoambiwa aongeze mishahara kwanza akadanya idadi ya watumishi wa umma, pili akadanganya mapato yanayohitajika kuwalipa watumishi. Mambo haya yote si ya kiongozi mtendaji!!
papa kwani mwana siasa ni nani.......mkapa alikuwa ni mwanasiasa mtendaji ,kikwete ni mwanasiasa feki
 
Angalia nchi ilivyokumbwa na majanga katika kipindi hiki cha awamu ya nne,kweli Mnyika aliona mbali kusema Jk ni dhaifu,angalia haya yameshamiri katika kipindi cha JK..yakiwemo ya
1.Udini.
2.Ugaidi.
3.Ufisadi wa kutisha.
4.Mauaji ya raia kwa kutumia jeshi la polisi.
5.Utesaji na ung'oaji watu kucha.
6.Uhasama na mataifa mengine kama Rwanda,Malawi.
7.Ugumu wa maisha huku tukipotoshwa kuwa ni maisha bora kwa kila mtanzania.
8.Upandishaji watu vyeo wanaotuhumiwa kwa mauaji
9...unaweza ukaongeza mengine.
Kweli Jk ametuharibia nchi..leo hii watu wanaogopa kukosoa au kudai haki zao wakiwa na hofu ya kung'olewa kucha na meno bila ganzi,kuambiwa kuwa ni wachochezi,Jk unalipeleka wapi taifa hili?
 
Angalia nchi ilivyokumbwa na majanga katika kipindi hiki cha awamu ya nne,kweli Mnyika aliona mbali kusema Jk ni dhaifu,angalia haya yameshamiri katika kipindi cha JK..yakiwemo ya
1.Udini.
2.Ugaidi.
3.Ufisadi wa kutisha.
4.Mauaji ya raia kwa kutumia jeshi la polisi.
5.Utesaji na ung'oaji watu kucha.
6.Uhasama na mataifa mengine kama Rwanda,Malawi.
7.Ugumu wa maisha huku tukipotoshwa kuwa ni maisha bora kwa kila mtanzania.
8.Upandishaji watu vyeo wanaotuhumiwa kwa mauaji
9...unaweza ukaongeza mengine.
Kweli Jk ametuharibia nchi..leo hii watu wanaogopa kukosoa au kudai haki zao wakiwa na hofu ya kung'olewa kucha na meno bila ganzi,kuambiwa kuwa ni wachochezi,Jk unalipeleka wapi taifa hili?

Kilicho mkera zaidi Nyerere alipoambiwa sifa za mheshimiwa ni mzuri eti akiwekwa kwenye hela atapendeza! alichokisema Nyerere eti pelekeni........................................... kama ni Mzuri.
 
Kama Nyerere alimuamini Mkapa badala ya Kikwete, kwa nn Mkapa alimuamini Kikwete? Akamteua kugombea urais na akamkabidhi uenyekiti wa CCM? tafuta mada zenye mashiko. Elimu ya Tanzania wkt wa Mkapa mkumbuke Mungai waziri wa Elimu, Magufuri kuuza nyumba, migodi viwanda kubinafsishwa,

Mkaba hakumwamini kikwete na wala hata ss hamwamin ila kwa mtazamo wako wa kilumumba unaona ivyo. KIKWETE alilazimisha ushundi kwa kuwa alipendwa na wakina mama na vijana kwa kutokujua nasaha za baba wa taifa kama wewe ucvyojua chochote na kama unajua bac wewe -------- sana.
 
Ili uweze kuona uzuri au ubaya wa kitu fulani ni lazima ulinganishe na kitu kingine kinachofafa. Kwa ulinganisho wa utendaji kati ya BWM na JMK,naunga mkono hoja kuwa BWM ana nafuu kiutendaji na mafanikio kuliko JMK.
 
Kajipange tena halafu ndio urudi na huu ushuzi wako wa kusadikika.

Mwalimu hakuwahi kutamka maneno hayo kama unavyomnukuu. Sababu kuu ni tatu,
  • Mgombea Urais wa CCM anachaguliwa na MKUTANO MKUU WA CCM na sio NEC ya CCM.
  • Wagombea walikua WATATU KIKWETE, MKAPA na MSUYA
  • MWALIMU asingeweza kufanya such a fragrant VIOLATION ya demokrasia mbele ya mkutano wa chama. Inaelekea humjui Mwalimu na wala huna haja ya kumjua alikua ni mtu wa aina gani wakati wa uongozi wake.
Jambo moja alilotamka lakini hukuliandika ni swali alilomuuliza LOWASSA: "Je umepata wapi mali nyingi kiasi hiki, kwa umri ulionao, wakati toka umalize chuo kikuu umekua ni mtumishi wa UMMA? Wakati hata mimi niliyekuwa rais wenu kwa miaka 24 sinazo?"

Majibu ya hapo, fuatilia simulizi za Mzee Kasori, Katibu Mstaafu wa Mwalimu. Zimo humu JF.

Duh wewe ndo zuzu kweli.Unataka kutwambia siyo kweli likikwete lilishinda kura mwl akalikataa akasema ``hatuchagui mtu kwa sura kama unampoemda nenda kanywe nae chai``Alijua hili ni janga ila wewe uliyekeketwa ukubwani bado utakataa kwa vile ni mchumia tumbo wa lumumba,.
 
Kama Nyerere alimuamini Mkapa badala ya Kikwete, kwa nn Mkapa alimuamini Kikwete? Akamteua kugombea urais na akamkabidhi uenyekiti wa CCM? tafuta mada zenye mashiko. Elimu ya Tanzania wkt wa Mkapa mkumbuke Mungai waziri wa Elimu, Magufuri kuuza nyumba, migodi viwanda kubinafsishwa,
Kwani che Nkapa ndiyo aliyemteua?Duh huyu Ipogolo hakika ni FORM FOUR LEAVER WA 2012 alieyekuloga kafa au kasahau password.Nakuombea ulale mahali pema peponi!
 


Mafanikio ya Mkapa haya hapa:

- kaacha chuo kikuu cha Dodoma kikijengwa hadi kukamilika na kutumika kwenye utawala wa kiwete,

Huo ni uongo wa wazi wazi. Hiyoilikuwa ahadi ya Kikwete ya kampeni na akaanza kukijenga mara tu baada ya kupata URais wa Tanzania na intake ya kwanza ikawa exactly miaka miwili baada ya kuapishwa Urais na mpaka leo kinaendelea kujengwa na kukuzwa.
 
Unapokuwa na kiongozi anayesubiri amri toka Washington D.C na Geneva then ni hatari kuliko unavyoweza kufikiri!tena habari za huko ni mbaya mno.watu wanakwenda huko wamoja,wakirudi huku wanagombana,utawasikia "mie kidume cha kigali",na mwingine "mie kidume cha bongo",kumbe wote lao moja,creating chaos ili yule aliyewatuma toka D.C aibe!hopeless!bora Nyerere tu,hawa watu wenu wote as long as ofisi zao kuu ni D.C na Geneva,ni hovyo tu!hawatufai!wa kuogopa kama ukoma!watu wenu wote wa east africa nzima hawafai.chagueni wengine watakaoweza kusimama kama leaders bila kutegemea "mtandao wa dunia".hao watawafaa kwa vile wanaimba wimbo mmoja na ninyi!hawa wa sasa wanaimba nyimbo zao na wenzao wa D.C na Geneva,nyimbo za "Dunia"kama vile "power Africa",sio "empower" kama unavyofikiri!sasa hujui hii power inayoitwa Africa inaletwa Africa au inachukuliwa Africa,teh teh,ni maoni tu!nisonge nguna yangu nile mie!
 
Ili uweze kuona uzuri au ubaya wa kitu fulani ni lazima ulinganishe na kitu kingine kinachofafa. Kwa ulinganisho wa utendaji kati ya BWM na JMK,naunga mkono hoja kuwa BWM ana nafuu kiutendaji na mafanikio kuliko JMK.

kweli kabisa!
 
Zomba tuambie, mpango wa kujenga chuo kikuu cha Dodoma ulianza mwaka gani, kilianza kujengwa mwaka gani na intake ya kwanza ilikuwa mwaka gani! Naona kama records zako haziko sawa! Ni za kishabiki kuliko ukweli.
 
Uchambuzi wako safi kabisa,Mkapa alikuwa mtendaji na huyu wa sasa ni mzururaji na mpiga piga picha tuh asie na mbele wala nyuma,
Namimi naongezea ya kwangu,Mkapa kajenga Daraja na kuanzisha ujenz wa bara bara ya kusini ambayo kikwete hadi anakaribia kumaliza utawala wake km 45 zile bado zimemshinda kumalizia,

Mkapa aliacha plan ya mtwara corridor na ujenz wa miundombinu mbali mbali pamoja na ugunduzi wa gesi ambapo jk kaja kuuubomoa na kuingiza plan za kifisadi bila kufuata utaratibu wa kuwahusisha wananchi wala bunge ili mradi akamilishe uchukuaji wa 10percent zake,

KWELI JK NI JANGA LA KITAIFA SANA
 
Bila kusahau JK ni mafia

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Hii ndio nchi pekee duniani ambayo mpiga kura anapewa TShirt au Kanga halafu yupo tayari kusubiri kuipata tena baada ya miaka mitano! Tena anasubiri kwa hamu kubwa kabisa!
 
Back
Top Bottom