Matope
JF-Expert Member
- Apr 29, 2009
- 892
- 679
Ww jamaa mbn umejibu kwa ukali namna hy???wewe jamaa mvivu wa kufikiri sana inaonekana ulikuwa tu na hamu yakuanzisha post
Ww jamaa mbn umejibu kwa ukali namna hy???wewe jamaa mvivu wa kufikiri sana inaonekana ulikuwa tu na hamu yakuanzisha post
Eti mkapa kajenga chuo kikuu udom ..siyo kweli
Acha ushabiki dogo, mkapa anasifika kwa kuuza mali za umma kuanzia nyumba hadi madini
JK kafanikiwa kuwapendelea waislam:Tazama BOT,NSSF,BALOZI ZA NJE
ni Chease!sijui ni mtu wa namna gani huyu jamaa...ati wakuu!!
Uchambuzi makini sana, Hata vijijini wakiyajua haya tutabadilika
Nasikia mlitaka watu wauawe leo kwenye maandamano yenu ili muonekane mnaonewa