Kelvin kalale
Member
- Oct 21, 2019
- 13
- 4
H
OzaaaahKalaleee
Hahah... Nshapata ndo napozea hapaPitia mapokezi kuna soda za wageni, au washakupa???
Weka picha na cv yako Kelvin
Enx MarcyKaribu kev
Nmejaribu ila nimeshindwa NAKWEDE
Anakutania usiweke chochote humu. kwanza hawatumii majina yao halisi humuNmejaribu ila nimeshindwa NAKWEDE
Hahahaha... Hayo ni privateKelvin karibu sana.
Una miaa mingapi mbona haujasema?
Hamna noma mzeeEnx?
Wasalimie huko fb na insta mkuu.
Sisi wakongwe aka wahenga.