STRUGGLE MAN
JF-Expert Member
- May 31, 2018
- 8,638
- 16,566
- Thread starter
- #21
Na wenyewe wakiskia mtu anajita myahudi wanaweza wakamuua mtu huyo, jamaa wanajiona bora kuliko binaadam mwengine wakati wao ndio walioko chini zaidi ya chini maana hata mjumbe wao Yesu walimkimbizaMkuu hapa Tanzania kuna Watanzania Waarabu na kuna Watanzania Waajemi. Wayahudi sidhani!
Anayeshabikia Waarabu/Waajemi sioni tatizo. Tatizo lipo kwa anayeshabikia Wayahudi nadhani hao ndiyo wanaoangukia kwenye ukarasa wa dini