Hey you ladies.............

Tata

JF-Expert Member
Dec 3, 2009
5,799
2,725
Hivi kwa nini kila inapotokea tafrani kidogo huwa mnapenda kuwaadhibu wenzi wenu kwa kuwanyima ile shughuli pevu? Yakitokea mabishano kidogo basi mdomo utavutwa mchana kutwa na ikifika usiku huduma zinasitishwa. Wakati mwingine mabishano wala hayana uhusiano wowote na tendo lenyewe. Mnaligeuza hili tendo kuwa weapon of mass destruction dhidi yenu na wenzi wenu kwani mara nyingi mkiweka vikwazo jamaa wanatafuta njia mbadala ambazo zina madhara mengi yakiwemo maabukizi ya VVU. Shame on you ladies!!!!!!!
 
Naona umewaaamuliaa duh ila wakija hapa ujiandae mna mashambulizi yao

Mr. Rocky hawa viumbe tunawapenda lakini wakati mwingine wanakera sana. Mnajadiliana kuhusu adhabu sahihi ya kumpa mtoto unadhani mmeelewana ikifika jioni anasitisha huduma bila taarifa. Sasa unabaki unajiuliza mbona haya mambo mawili hayana uhusiano - yaani kuadhibu mtoto na ile shughuli nyeti?
 
Mkuu mwanamke ni kiumbe wa kubembelezwa
nafikiri ulivyomkuta amenuna wewe usingechukulia hasira ungerudi kujikumbusha enzi zile unamtongoza ulifanyaje
mlete karibu yako mpe maneno matamu, mkumbushe great moments u were together, kiss her tena kwa kutokea nyuma wakati may be hata anavaa au anapanga nguo sehemu, tell her how u love her and care about her na utaona matokeo
Akikasirika na wewe usikasirike shuka chini fanya kile ambacho ni nadra kufanywa wakati huo maana romantic moments nyingi huwa tunazisahau tukishakuwa kwenye ndoa
 
Mkuu mwanamke ni kiumbe wa kubembelezwa
nafikiri ulivyomkuta amenuna wewe usingechukulia hasira ungerudi kujikumbusha enzi zile unamtongoza ulifanyaje
mlete karibu yako mpe maneno matamu, mkumbushe great moments u were together, kiss her tena kwa kutokea nyuma wakati may be hata anavaa au anapanga nguo sehemu, tell her how u love her and care about her na utaona matokeo
Akikasirika na wewe usikasirike shuka chini fanya kile ambacho ni nadra kufanywa wakati huo maana romantic moments nyingi huwa tunazisahau tukishakuwa kwenye ndoa

Umri wa kukasirika ulishapita siku hizi nimekuwa philosopher huwa naishia kushangaa na kutafakari mambo kadha wa kadha. Huo mkakati unaousema unafanya kazi sana kwenye hizi filamu wanazoangalia siku hizi lakini kwenye uwanja wa mapambano huwa hazi apply sana. Labda kwa nyakati fulani fulani tu. Kuna wakati akiwa amenuna sio busara kufanya hayo unayosema. Unaweza kujikuta unatongoza mke wako kila siku jioni unapotoka kazini.
 
Mkuu mwanamke ni kiumbe wa kubembelezwa <br />
nafikiri ulivyomkuta amenuna wewe usingechukulia hasira ungerudi kujikumbusha enzi zile unamtongoza ulifanyaje <br />
mlete karibu yako mpe maneno matamu, mkumbushe great moments u were together, kiss her tena kwa kutokea nyuma wakati may be hata anavaa au anapanga nguo sehemu, tell her how u love her and care about her na utaona matokeo<br />
Akikasirika na wewe usikasirike shuka chini fanya kile ambacho ni nadra kufanywa wakati huo maana romantic moments nyingi huwa tunazisahau tukishakuwa kwenye ndoa
<br />
<br />
Hahahahahaaa duuh ntakuwa nafanya hayo nikiwa mkubwa(nikioa), sidhani kama ndoa itakuwa na malumbano au kesi kwa mshenga kuwa wife hanipi kitu roho inapenda teh teh teh umesomeka Mkuu.
 
Umri wa kukasirika ulishapita siku hizi nimekuwa philosopher huwa naishia kushangaa na kutafakari mambo kadha wa kadha. Huo mkakati unaousema unafanya kazi sana kwenye hizi filamu wanazoangalia siku hizi lakini kwenye uwanja wa mapambano huwa hazi apply sana. Labda kwa nyakati fulani fulani tu. Kuna wakati akiwa amenuna sio busara kufanya hayo unayosema. Unaweza kujikuta unatongoza mke wako kila siku jioni unapotoka kazini.

Mkuu sidhani ni kila siku utamkuta mkeo amenuna na mahali pengine hata hizo mbinu kuzitumia zinaweza zisikubali
Cha muhimu ni namna ya kumuingia mkeo wakati amekasirika
U have all power to easy her anger anytime u want na hizo issue za kunyimwa mambo yale zisiwepo
 
<br />
<br />
Hahahahahaaa duuh ntakuwa nafanya hayo nikiwa mkubwa(nikioa), sidhani kama ndoa itakuwa na malumbano au kesi kwa mshenga kuwa wife hanipi kitu roho inapenda teh teh teh umesomeka Mkuu.


Kumbe wewe bado mtoto unafanya nini humu ndani au shule hazijafunguliwa
 
Mkuu mwanamke ni kiumbe wa kubembelezwa <br />
nafikiri ulivyomkuta amenuna wewe usingechukulia hasira ungerudi kujikumbusha enzi zile unamtongoza ulifanyaje <br />
mlete karibu yako mpe maneno matamu, mkumbushe great moments u were together, kiss her tena kwa kutokea nyuma wakati may be hata anavaa au anapanga nguo sehemu, tell her how u love her and care about her na utaona matokeo<br />
Akikasirika na wewe usikasirike shuka chini fanya kile ambacho ni nadra kufanywa wakati huo maana romantic moments nyingi huwa tunazisahau tukishakuwa kwenye ndoa
<br />
<br />
hayo mambo ya kwenye tamthilia wengne ha2yawezi.
 
Tatizo lenu wanaume hamjitambui....sa nyingine hajanuna we unasema amenuna.km unataka ndo ubembeleze at!
 
Hata Igwe unasema hayo na unakubaliana na hayo

Tena haswaaaaa mkuu wangu,..

Unajua kuna vitu havitekelezeki kabisa kwenye maisha ya hali fulani_eti akasirike halafu mm nishuke hata kama najua sijamkosea,...kuna muda hawa wa ubavu wetu wananuna bila sababu ya msingi,..sasa hapo suala la kujishusha ndipo linapokua muhali kiongozi wangu.
 
Tena haswaaaaa mkuu wangu,..

Unajua kuna vitu havitekelezeki kabisa kwenye maisha ya hali fulani_eti akasirike halafu mm nishuke hata kama najua sijamkosea,...kuna muda hawa wa ubavu wetu wananuna bila sababu ya msingi,..sasa hapo suala la kujishusha ndipo linapokua muhali kiongozi wangu.


Kuna kununa ambako kunasababishwa na zile hali zao ambazo hapo wewe huna la kufanya
Ila wakati unajijua kabisa kuwa umefanya kosa mkuu mwenzako anahitaji kubembelezwa bana hata kama mnasema ni mapenzi ya tamthilia ila nyie wa hivyo ndo mnafanya ndoa zinakuwa ngumu
Unamkuta mwenzako amenuna na wewe unanuna hasara ya nani sasa
 
Ningependa nisikie maoni ya hawa kina mama mbona wamejificha? Au na akina mama wa humu JF nao wameshanuna? Ndugu Rocky inabidi sasa utumie hizi mbinu zako kujishusha ili uwashawishi waache kununa waanze kuchangia.
 
kuna kitu kinaitwa make up sex ni tamu hyo.......................mwisho wa siku unakuta bibie analia then huelewi analilia utamua au ugomvi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom