Jamani wanafunzi mpo wapi jaman,inatakiwa kuunganisha nguvu kwa wanafunzi wote kudai mkopo kwa kuwa ni haki ya msingi.mnaogopa nini kwani mmeshaanza chuo ndo mseme mtafukuzwa kama udom au
what are you waiting up to this moment my dear friends for those who didn't get the loan they are under stress they don know about their future about loan up to this moment ,where is peoples power
Nyie ndio mshachinjiwa baharini! Serikali ya Jk haina pesa..wenzenu wa udom walihaidiwa field na pesa juu, mwisho wa siku waliambulia virungu,mabomu na kufukuzwa..
watoto wa wakubwa wao hata wasipopata mkopo wanasoma,tena vyuo vya nje sasa wanchi wenza tuuganishe nguvu tuwatetee wanyonge maana bila loan hawataweza kusoma hata semister moja,
kila mji wenye wanafunzi waliokosa mkopo waandae maandamano ya amani faster kupinga utaratibu ulotumika kutoa mikopo mwaka huu pesa zipo ,tena ni mkopo mtarudisha mkimaliza kusoma
Ila km tungepata nguvu kutoka kwa hata waziri kivuli wa elimu, au mwanasiasa yeyote angeyeweza kuongelea tatizo hili, au hata viongoz wa vyama vya wanafunzi wa elimu ya juu, ingesaidia kuliko sasa tupo disorganized sana ambapo tunashindwa kupressurize bodi kutusikilìza.
Tusaidieni madogo zenu. Nyie tu mnapata mkopo and still mnasema life tight, je sisi ambao hatutopata chochote.. Enyi wenye nafasi ya kuweza kutupigia kidedea, tusaidieni. Enyi viongoz wa daruso, tusaidien madogo.!
Ninacho kitabili ni migomo isiyo isha vyuo vikifunguliwa. HESLB wameshindwa kutumia historia. Mwaka 2002 wanafunzi kama 602 walidahiliwa bila ruzuku, vijana waliokuwa dar kwa kushirikiana na DARUSO waliweza kuunganisha nguvu mpaka kikaeleweka. Wanafunzi wasubiri wafungue. Wazazi 'watakaoweza' kulipa nusu ada ya udahii wafanye hivyo, watoto wakifika chuo migomo iwe non-stop.
Nawaomba viongozi wetu wa kisiasa waingilie kati kupanua "public pressure"
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.