Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 23,410
- 36,559
Poleni sana aisee, si enzi zetu hata 80 kuna jamaa yangu alikata rufaa baada ya kupeleka documents kadhaa akapewa 90,Saiz nawaonea huruma sana hasa familia zetu wanaojua upo Chuo unapewa hela nawao wanataka uwasaidie ya chumviongera broo sahv maskini ndo tutasota mtaani mpk tukome maana no one cares alafu wengine tumetoa mpk vyeti vya kifo vya wazazi lkn ndo kwanza tunatupiliwa mbalii