HESLB: Yatoa mikopo 100% kwa wanafunzi 872 zao la TASAF regardless masomo waliohitimia|ashukuriwe Rais Samia kwa hii sera inayoinua watoto wa masikini

Tanzania kama kuna wakati tumepata Rais wa kweli basi ni sasa, Mungu tujalie heri kuelekea 2025|30
 
Kama mambo ndio haya basi Tanzania kama kuna wakati tumepata Rais bora na wa kweli nadhani ni sasa,Tufanye kazi kwa bidii sana,

Hakika huyu Mama ni Mpango wa Mungu,

#WATANZANIA TUFANYE KAZI KWA BIDII
 
ombea uRais badala ya Magufuli mwaka 2015 basi Tanzania tungekuwa tumeipita Kenya kwa GNP na sasa tunakimbizana na Ethiopia na Morocco kwenye top 10 ya Africa.

Ile miradi ya NHC ya Kawe na Morocco, miradi ya NSSF ya Dege Eco Village, Bandari ya Bagamoyo na Gesi ya Mtwara zingekuwa zimetiki sana. Maana alipoishia Kikwette ndipo Samia angeanzia.

Lakini likikuja popoma la chemistry likajifanya linajuwa kila kitu likakimbilia kukata miti ya Selous Game reserve ili lipate Megawati 2100 za umeme. Likasimamisha miradi yote aliyoanzisha JK.
 
ombea uRais badala ya Magufuli mwaka 2015 basi Tanzania tungekuwa tumeipita Kenya kwa GNP na sasa tunakimbizana na Ethiopia na Morocco kwenye top 10 ya Africa.

Ile miradi ya NHC ya Kawe na Morocco, miradi ya NSSF ya Dege Eco Village, Bandari ya Bagamoyo na Gesi ya Mtwara zingekuwa zimetiki sana. Maana alipoishia Kikwette ndipo Samia angeanzia.

Lakini likikuja popoma la chemistry likajifanya linajuwa kila kitu likakimbilia kukata miti ya Selous Game reserve ili lipate Megawati 2100 za umeme. Likasimamisha miradi yote aliyoanzisha JK.
Miradi hiyo yote wizi mtupu haina manufaa kwa sehemu kubwa ya jamii ya Tanzania...miradi mingi ya NHC na NSSF ni white elephant na fedha zimeshaliwa...kabla ya kujua thamani ya miradi hii fake wasaidie wale walojenga jengo refu kuliko yote dsm kwa fedha ya watumishi maeneo ya karibu na TCRA kupata wapangaji
 
Wanafunzi wengi wasio na uwezo wamekosa mikopo zaidi ya kuambulia 200,000/= mkopo wa tuition fee..huo ndio ukweli ni heri kukaa kimya
 
Miaka mingi tu wanufaika wa TASAF wanapata 100%
TTumuombe sasa ikimpendeza atoe 100% kwa wanufaika wote ILI uwanja kusoma uwe sawa,sababu hii mikopo ni ya mnufaika mwenyewe na itarejeshwa na mnufaika mwenyewe, zingatia wengine walisomeshwa na wajomba/wafadhili ambao hawako tayari kufadhili ngazi ya vyuo vikuu,na au hawana fedha kwa sasa. ,mf mzazi alikuwa mtumishi akastaafu au kufariki,mfanya biashara akafilisika au kufariki. Kusiwe na ubaguzi ,maisha ya wanachuo wengi wasio na mikopo ni magumu.
 
Miradi hiyo yote wizi mtupu haina manufaa kwa sehemu kubwa ya jamii ya Tanzania...miradi mingi ya NHC na NSSF ni white elephant na fedha zimeshaliwa...kabla ya kujua thamani ya miradi hii fake wasaidie wale walojenga jengo refu kuliko yote dsm kwa fedha ya watumishi maeneo ya karibu na TCRA kupata wapangaji
Myopic thinking
 
" Kwa mwendo huu Tanzania tutafika tunakotaka kwenda tena kwa kuwahi sana, Hongera Mama Samia, Watanzania tuko nyuma yako We chapa kazi achana na Wasio na jema "
 
Nawasalimu kwa Jina la JMT,

Sera ya bodi ya mikopo ya Elimu ya juu ( HESLB ) dhidi ya wanaopewa mkopo 100% ni wale tu wanachukua masomo ya Sayansi kama Udaktari,

Wale wanaochukua masomo yasiyo ya Sayansi hupewa mkopo chini 100%

Mambo ni tofauti kwa awamu ya Sita chini ya Rais ya Samia Suluhu Hassan ameagiza watoto wote waliotoka nyumba zinazohudumiwa na TASAF wapewe mkopo 100% hata kama wanakwenda kusoma masomo yasiyo ya Sayansi.

Namkopo huo wa 100% wapewe kabla hawajafika chuoni, that's Mama.

👇🏿
👇🏿

______________________________
The Higher Education Student Loans Board (HESLB) has announced a list of 872 students who will receive 100 percent loans regardless of the subjects they have been selected to join.

That number is for applicants who are certified to be from poor households that are serviced by the Community Development Fund (Tasaf).

The statement was issued on Wednesday, September 15, 2021 by the board’s executive director, Abdul-Razaq Badru during the signing of a loan agreement for applicants from poor households.

TASAF HESLB: 782 Students To Get 100 percent of Loan

Badru said the students will receive loans before starting classes to reduce inconvenience. He said the program is sustainable and they have already put in place a system to monitor them from primary schools to form six.

“We have developed a joint system with our colleagues in the Ministry of Education and Tasaf, we will be identifying students early so their application will have its priority,” said Badru. You can read also below


VIVA TANZANIA VIVA || VIVA SAMIA VIVA View attachment 1942133
Asante Mama,
 
Back
Top Bottom