Ni kwel wametoa mzee sema tatzo unakuta chuo kizima watu watatu tu ndo wamefanikiwaaa hahahahaahahaUmekurupuka! Tovuti ya Heslb haina taarifa kama hiyo. Weka uthibitisho hapa. Hata hivyo kinachotakiwa si majina ya walioappeal bali ni matokeo ya appeal hizo.
Awali Heslb waliahidi kutoa matokeo ya appeal hizo mwishoni mwa Novemba, lakini mpaka muda huu tunaelekea katikati ya Desemba bado Heslb hawajatoa matokeo ya appeal hizo. Kulikoni?
Udsm tayar washabandikwa
Write your reply...mbona akuna sasa wekeni umu nasi tuangalie bac ili tujue kama tuna airisha mwaka au vp
Write your reply...ayooo majna wenzetu mnayaonea wap kwa mganga mbona sisi atuyaoni yamewekwa wap?
Udom mtayaona soonWrite your reply...mbona sisi udom akuna majina tumekosa wote inamana nifungashe kilicho changu maisha magumu uku nimeshindwa kushindia maandaz na maji ya chumvi sijaua kwetu shule ipogo tu ila afya yangu muhimu zaid yq shule
VP mkuuWe jamaa akili huna