Unataka ufanye nn Sasa🤣🤣🤣 nenda chuo kakazeHabar zenu humu ndani ndugu wa jf jukwaa letu pendwa!! Nimepata mkopo lkn ada wamenipa laki 5 kati mil 1.3 naomba ushauri wenu nifanye nn ndugu zangu!
Natanguliza shukran zangu za dhat kwa kil atakae husika kunishauri..Nawasilisha...View attachment 2392119
MA FPT, SFR ndiyo nini jamani?Unataka ufanye nn Sasa🤣🤣🤣 nenda chuo kakaze
Meal and accommodationMA ndiyo nini jamani?
Hapo unalipa ada, then kula wanakuchangia wandugu na shule inaendaMeal and accommodation
ndiyo nini?foreks
Anaweza kupata odds tano daily 🤭kuna watakaokwambia cheza foreks uongeze mtaji
umenichanganya, odds ndiyo niniAnaweza kupata odds tano daily 🤭
Ontariondiyo nini?
😂😂😂unataka kijana wa watu aghairishe mwaka sio!Anaweza kupata odds tano daily 🤭
Hii mo website ya kibwege ambayo huweka link za tunkuongeza Traffic ni.sawa tu na KalyindaWanufaika wapya wa Mkopo zaidi ya elfu 20 HESLB 2022/2023 | Majina ya Waliopata Mkopo
Habari njema kwa waombaji wote wa mkopo wa HESLB, Allocation ya mkopo bechi ya kwanza sasa inapatikana mtandaoni kuangalia allocation ya mkopo Tembelea Tovuti ya HESLB ya Maombi ya Mikopo na Mfumo wa Usimamizi https://olas.heslb.go.tz/index.php/olas/Olas
Nifanye nini nikikosa mkopo kwenye bechi ya kwanza HESLB?
Kuwa mvumilivu na subiri kwa sababu bodi ya mkopo inatoa majina ya waombaji wa mkopo waliopata mkopo kwa Bechi. Bechi za majina ya waliopata mkopo ni nyingi wakati mwingine hufikia tano au sita
Je nikisubiri hadi bechi zote za majina zikatoka na ikiwa sioni jina langu, nifanye nini?
Bodi ya mikopo hufungua dirisha kwa waombaji kukata rufaa kwa hivyo ikiwa unajiona kuwa una hoja, unaweza kukata rufaa
Je, nifanye nini ikiwa sipati mkopo baada ya kukata rufaa?
Naweza kuomba mkopo huku nikiendelea na masomo?
- Lipa ada ya masomo na chakula cha kujifadhili na gharama za malazi.
Maswali baadhi ambayo naweza kukupa msaada angalau wa majibu kuendena na uelewa wangu
- Ndio mwaka ujao bodi itafungua dirisha jipya la maombi
Je, iwapo nilikatisha(disco) masomo nifanye nini ili niweze kupata mkopo Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu(HESLB) Soma hapa
Je, ni lazima nifuate taratibu gani ili nilipwe mkopo na Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu(HESLB)?
Ili bodi ifanye malipo, mnufaika lazima afuate taratibu hizi
1. Mfadhiliwa lazima ajiandikishe kikamilifu katika taasisi ya elimu ya Juu, vinginevyo itamfanya akose sifa ya kupokea fedha hizo.
2. Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu(HESLB) lazima ipokee maelezo ya ziada ya wanufaika. Jukumu la kutuma taarifa hizo ni la taasisi ambayo wamekubali Wanufaika na kuwasajili kikamilifu.
Nyongeza:
iwapo mnufaika wa mkopo atajiandikisha katika taasisi ya elimu ya juu ambayo ni tofauti na ile ambayo TCU ilipeleka Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu(HESLB), mnufaika hatapokea fedha za mkopo hadi aombe kupangiwa upya au Kuhamishiwa mkopo.
Ikiwa mnufaika atabadilisha programu yake aliyoichagua awali, kiasi cha mkopo wake hakitabadilika hadi aombe kutengewa tena.
Mwisho, bodi ya mikopo Huendelea kufuatilia maendeleo ya mnufaika katika Vyuo vya Elimu ya Juu mara kwa mara ili kufanya uamuzi wa malipo.
Recomended Posts