HESLB, TCU dhidi ya vyuo

stan b

Member
Sep 8, 2011
85
10
kuna mazingra ya rushwa kati ya heslb, tcu dhidi ya vyuo visivyo na umaarufu, ambavyo kwa mfumo huu wa tcu ni vigumu kupata wanafunz hapo ndipo dili zinachezwa, ndio maana m2 ana E E F kapewa chuo na mkopo tena kwa koz isiyo ya kipaombele. huo ni mtazamo wangu, mnalionaje hli wana JF?
 
kuna mazingra ya rushwa kati ya heslb, tcu dhidi ya vyuo visivyo na umaarufu, ambavyo kwa mfumo huu wa tcu ni vigumu kupata wanafunz hapo ndipo dili zinachezwa, ndio maana m2 ana E E F kapewa chuo na mkopo tena kwa koz isiyo ya kipaombele. huo ni mtazamo wangu, mnalionaje hli wana JF?
<br />
<br />
swala lako ni gumu sana. Linahitaji uwe na critical evidence to support your argument. Sheria inasema ili uende university lazma uwe na principle mbili, sasa huyo mwenye EEF, anavyovigezo vya kwenda chuo. Toa evidence ndg.
 
inakuwaje m2 kama huyo ambaye hakutarajia kupata mkopo apate? na wale wenye uhakika wakose?
 
Mhh, inawezekana.. Kuna mtu ana e e f kapata chuo iringa..duh! Tena na mkopo juu mil 3.2
 
ni kweli ana princple 2, lkn hakustahl kupewa mkopo kirahs kiivyo, huku wenye ufaulu mzur tena kwa koz za kipaumbele wakiachwa. mi nadhani hawa wamepata kwa sabab vyuo walivyopata havikuwa na waombaji wa div 1 na 2, hivyo heslb iliona kuwe na usawa wa kati ya vyuo maana kama wacngewapa mkopo hivyo vyuo vingekosa wanafunzi.
 
ni kweli ana princple 2, lkn hakustahl kupewa mkopo kirahs kiivyo, huku wenye ufaulu mzur tena kwa koz za kipaumbele wakiachwa. mi nadhani hawa wamepata kwa sabab vyuo walivyopata havikuwa na waombaji wa div 1 na 2, hivyo heslb iliona kuwe na usawa wa kati ya vyuo maana kama wacngewapa mkopo hivyo vyuo vingekosa wanafunzi.
ndio, na mkopo kapata 3,257,500/= nimeona majina ya ambao hawajapata mkopo kutokana na uhaba wa pesa kutoka serikalini kuna mtu ana three ya kwanza 13 amekosa mkopo kisa bajet ilikuwa haitoshi. How come..au kisa mwenye e e f alikuwa mwanamke? Hawa jamaa cjui wamepangaje.
 
ndio, na mkopo kapata 3,257,500/= nimeona majina ya ambao hawajapata mkopo kutokana na uhaba wa pesa kutoka serikalini kuna mtu ana three ya kwanza 13 amekosa mkopo kisa bajet ilikuwa haitoshi. How come..au kisa mwenye e e f alikuwa mwanamke? Hawa jamaa cjui wamepangaje.
<br /> <br / umenigusa Kaka.nina 3 ya 13 nimekosa egm.non priority burchelor of arts in economics ARDHI
 
nimeckia J3 saa 3 ucku TBC, kuna mjadala utakaozungumzia mikopo, tufaamisha kitachoendelea cku hiyo maana umeme wa JK hautabirk.
 
nimeckia J3 saa 3 ucku TBC, kuna mjadala utakaozungumzia mikopo, tufaamishane kitachoendelea cku hiyo maana umeme wa JK hautabirk.
 
&lt;br /&gt; &lt;br / umenigusa Kaka.nina 3 ya 13 nimekosa egm.non priority burchelor of arts in economics ARDHI
pole sana kaka..mimi jamaa wangu kapangwa IFM naye ameambiwa hivyohivyo wakati wengine wamepewa.
 
nimeckia J3 saa 3 ucku TBC, kuna mjadala utakaozungumzia mikopo, tufaamishane kitachoendelea cku hiyo maana umeme wa JK hautabirk.
usiwe na shaka ndugu, tutajulishana tu. Waombe mungu wasiruhusu watu wapige simu kuwahoji maswali maana kuna watu wamewapania mno.
 
Ndiyo tumepewa we ulitaka 2sipewe mimi nina EEF_HKL Mkopo 3,452,000 chuo eckanford tanga!! Mjanja kupata we endelea kuuza mahindi ya baba na mama au bibi na babu ili ujisomeshe sisi twaendelea kula bata!
 
Ndiyo tumepewa we ulitaka 2sipewe mimi nina EEF_HKL Mkopo 3,452,000 chuo eckanford tanga!! Mjanja kupata we endelea kuuza mahindi ya baba na mama au bibi na babu ili ujisomeshe sisi twaendelea kula bata!
<br />
<br />
duu! EEF-HKL, hongera.
 
Ndiyo tumepewa we ulitaka 2sipewe mimi nina EEF_HKL Mkopo 3,452,000 chuo eckanford tanga!! Mjanja kupata we endelea kuuza mahindi ya baba na mama au bibi na babu ili ujisomeshe sisi twaendelea kula bata!
EEF? Mhh! Hongera.
 
sasa mkuu unanung'unika nin? Inavyoonekana ungekuwa loan board ungeninyima! Kama uamin pass marks zangu ni PM nikupe namba ya mtihan na jina!
heheheheeee. Mkuu pole kama unaona mimi ninanung'unika... Mimi nimemaliza mwaka huu, nimepata 2, mkopo nimepata tena wa kunitosha, nimepangwa udsm archaeology.. Sasa kipi cha kuninung'unisha? Mimi cpo hivyo kama unavyofikiri. Kuwa kama msomi bhana. Mkopo umepata mshukuru mungu na sio kujifanya ww ni da best kuliko wote.. We unafikiri E.E.F ni ujanja?
 
heheheheeee. Mkuu pole kama unaona mimi ninanung'unika... Mimi nimemaliza mwaka huu, nimepata 2, mkopo nimepata tena wa kunitosha, nimepangwa udsm archaeology.. Sasa kipi cha kuninung'unisha? Mimi cpo hivyo kama unavyofikiri. Kuwa kama msomi bhana. Mkopo umepata mshukuru mungu na sio kujifanya ww ni da best kuliko wote.. We unafikiri E.E.F ni ujanja?
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
ni km anakejeli waliokosa!, km ipo ipo tu, hainaga haja ya ''kutembea kifua mbele km umepigwa ngumi ya mgongo&quot; nukuu toka Fid Q.
 
Back
Top Bottom