kuna mazingra ya rushwa kati ya heslb, tcu dhidi ya vyuo visivyo na umaarufu, ambavyo kwa mfumo huu wa tcu ni vigumu kupata wanafunz hapo ndipo dili zinachezwa, ndio maana m2 ana E E F kapewa chuo na mkopo tena kwa koz isiyo ya kipaombele. huo ni mtazamo wangu, mnalionaje hli wana JF?