N'yadikwa
JF-Expert Member
- Aug 10, 2014
- 6,825
- 9,528
Mmeanzisha kampeni ya kukusanya madeni sekta binafsi na umma lakini mmewasahau wanufaika waliojiajiri kv wakulima pia wale ambao wapo sekta binafsi lakini hulipwa isivyo rasmi
Mathalani graduate anaemiliki duka au magari ya abiria au anaeendesha bodaboda au mlanguzi huko mashambani hao mnakusanyaje madeni yenu,msionyeshe substandards kwenye ukusanyaji mje na huku tunataka kulipa
Waiter ongeza siku ianze vizuri
Mathalani graduate anaemiliki duka au magari ya abiria au anaeendesha bodaboda au mlanguzi huko mashambani hao mnakusanyaje madeni yenu,msionyeshe substandards kwenye ukusanyaji mje na huku tunataka kulipa
Waiter ongeza siku ianze vizuri