Nadhani si haki bodi ya mikopo ya elimu ya juu kuwalipisha/kuwalazimisha wanafunzi kuomba mikopo kabla ya matokeo ya mitihani ya kidato cha sita.
Point yangu ni kuwa:
1. Kama mtu amefeli, hana sifa za kuomba, kwanini alipe hizo 30,000 Tsh
2. Mkopo una vigezo, mfano Programu.. huwezi kujua utaingia program gani kabla ya kupata matokeo ya mitihani... kuamua kama ni afya, ehandisi etc. Ilibidi wasubiri mitihani itoke.
3..................
Point yangu ni kuwa:
1. Kama mtu amefeli, hana sifa za kuomba, kwanini alipe hizo 30,000 Tsh
2. Mkopo una vigezo, mfano Programu.. huwezi kujua utaingia program gani kabla ya kupata matokeo ya mitihani... kuamua kama ni afya, ehandisi etc. Ilibidi wasubiri mitihani itoke.
3..................