HESLB na Serikali wawafutie madeni wapiganaji wote wa vyombo vya Ulinzi

Habari waungwana? Nimekuwa nikipita mitaani na kuongea na marafiki na jamaa zangu walioko serikalini, kwa kweli wanaumizwa sana na deni la HESLB.

Sheria inatoa mwanya kuchukuliwa kwa % 15 ya mishahara yao ghafi kulipia deni hilo la elimu ya juu. Sio mbaya sana kwani dawa ya deni ni kulipa. Lakini kwa wafanyakazi walioko kwenye vyombo vya ulinzi wangepata msamaha wa deni hilo. Nina sababu kadhaa za kwanini wasamehewe.

1. Deni la HESLB huwa linaleta stress kwa mtu akiwa analipa deni hilo. Mtu hukosa utulivu wa akili kila akiangalia salary slip yake hivyo kuwa na mawazo muda mwingi.

2. Vyombo vyetu vya ulinzi vina kazi ya ziada kuhalikisha tuko salama usiku na mchana, hivyo inakuwa kama zawadi kwa kazi hiyo mgumu sana ya kulinda raia, mali na mipaka ya nchi yetu.

3.Wanufaika wa HESLB waliopo kwenye vyombo hivyo sio wengi sana kiasi kwamba serikali itapoteza fedha nyingi.

4. Kama kwenye huduma zingine za umma huwa vyombo vyetu hupewa kipaumbele kama vile kwenye usafiri, mabenki kwanini hapa serikali isifumbe macho.

5. Kwa watumishi wengine kupanda cheo ni baada ya muda flani ukifika unapenda cheo kwa kujaza OPRAS, lakini kwa majeshi lazima uende kozi ya muda flani ndo upande cheo. Lazima uhenyeke.

6. Ukiwa kwenye majeshi unakuwa tayari kufa ili mwenzako wabaki salama. Hiki ki kiapo kikubwa kushinda vyote katika maisha, ni kutokana na kiapo hicho tunaweza kiwafikiria kuwafutia deni hilo la HESLB.
Pumbavu mkubwa lipa deni wewe utopolo
 
Habari waungwana? Nimekuwa nikipita mitaani na kuongea na marafiki na jamaa zangu walioko serikalini, kwa kweli wanaumizwa sana na deni la HESLB.

Sheria inatoa mwanya kuchukuliwa kwa % 15 ya mishahara yao ghafi kulipia deni hilo la elimu ya juu. Sio mbaya sana kwani dawa ya deni ni kulipa. Lakini kwa wafanyakazi walioko kwenye vyombo vya ulinzi wangepata msamaha wa deni hilo. Nina sababu kadhaa za kwanini wasamehewe.

1. Deni la HESLB huwa linaleta stress kwa mtu akiwa analipa deni hilo. Mtu hukosa utulivu wa akili kila akiangalia salary slip yake hivyo kuwa na mawazo muda mwingi.

2. Vyombo vyetu vya ulinzi vina kazi ya ziada kuhalikisha tuko salama usiku na mchana, hivyo inakuwa kama zawadi kwa kazi hiyo mgumu sana ya kulinda raia, mali na mipaka ya nchi yetu.

3.Wanufaika wa HESLB waliopo kwenye vyombo hivyo sio wengi sana kiasi kwamba serikali itapoteza fedha nyingi.

4. Kama kwenye huduma zingine za umma huwa vyombo vyetu hupewa kipaumbele kama vile kwenye usafiri, mabenki kwanini hapa serikali isifumbe macho.

5. Kwa watumishi wengine kupanda cheo ni baada ya muda flani ukifika unapenda cheo kwa kujaza OPRAS, lakini kwa majeshi lazima uende kozi ya muda flani ndo upande cheo. Lazima uhenyeke.

6. Ukiwa kwenye majeshi unakuwa tayari kufa ili mwenzako wabaki salama. Hiki ki kiapo kikubwa kushinda vyote katika maisha, ni kutokana na kiapo hicho tunaweza kiwafikiria kuwafutia deni hilo la HESLB.
hao sio special, kuna watu wanafanya kazi nzito kama wao hivyohivyo lakini wameshalipa, wana roho mbaya hasa polisi, wala rushwa, n.k, mazuri machache wanayoyafanya kama yale ya kupambana na majambazi sio kigezo kuna mabaya mengi, na wengi tu hao polisi ni majambazi usiku, nilishawahi sikia wengine wanaazimisha hadi bunduki wakiwa doria....ungeongelea watu kama madaktari, mahakimu na majaji, waalimu etc hapo ningekuona una akili. lakini ulichoandika hapo ni takataka tu.
 
ila dawa ya Deni ni kulipa Kama Deni linaudhi acha kazi Kuna watu wanahamu kwelikweli na kukatwa ilo Deni HESLB...
 
Usiku Wa Deni Haukawii Kucha
Dawa Ya Deni Ni Kulipa
Mkuki Mtamu Kwa Nguruwe Lakini Kwa Binadamu Mchungu.
Mgema Akisifiwa Tembo Huitia Maji
 
Wazo la kijinga Sana
Hawa vibaraka wa ccm ndio uwasamehe madeni?

Walipe tu madeni wajue uchungu wa kukumbatia Sera mbovu.

Binafsi Kila mtu alipe Kodi wakatwe na tozo kabisa
Nadhani hii thread ilifaa kuishia hapa. Kila mtu alipe madeni ya HESLB na kodi zote, tujenge nchi, period.
 
kwani hao walinzi wana nn spesho sana kuliko wengine.acha kila mtu alipe pesa alokula
Huyu hana hoja ya msingi. Kama ni uspecial, kila eneo ni special tu. Tumejaribu kuwajali, lakini hao hao wanarudi kuwaumiza wananchi. Wamehusika kutoa ushindi fake kwenye uchaguzi mkuu wa 2020 na kutufikisha tulipofika. Kama wako kwaajili ya kuilinda nchi na watu wake, walipoona uchaguzi unaporwa na ukawa si huru na wa haki, walitakiwa kuonyesha nguvu yao na umuhimu wao kwa Taifa. Tumeona majeshi ya nchi zingine yakiwa imara.

Wacha tulipe wote, tena makodi yaongezeke tupate maendeleo haraka.
 
Habari waungwana? Nimekuwa nikipita mitaani na kuongea na marafiki na jamaa zangu walioko serikalini, kwa kweli wanaumizwa sana na deni la HESLB.

Sheria inatoa mwanya kuchukuliwa kwa % 15 ya mishahara yao ghafi kulipia deni hilo la elimu ya juu. Sio mbaya sana kwani dawa ya deni ni kulipa. Lakini kwa wafanyakazi walioko kwenye vyombo vya ulinzi wangepata msamaha wa deni hilo. Nina sababu kadhaa za kwanini wasamehewe.

1. Deni la HESLB huwa linaleta stress kwa mtu akiwa analipa deni hilo. Mtu hukosa utulivu wa akili kila akiangalia salary slip yake hivyo kuwa na mawazo muda mwingi.

2. Vyombo vyetu vya ulinzi vina kazi ya ziada kuhalikisha tuko salama usiku na mchana, hivyo inakuwa kama zawadi kwa kazi hiyo mgumu sana ya kulinda raia, mali na mipaka ya nchi yetu.

3.Wanufaika wa HESLB waliopo kwenye vyombo hivyo sio wengi sana kiasi kwamba serikali itapoteza fedha nyingi.

4. Kama kwenye huduma zingine za umma huwa vyombo vyetu hupewa kipaumbele kama vile kwenye usafiri, mabenki kwanini hapa serikali isifumbe macho.

5. Kwa watumishi wengine kupanda cheo ni baada ya muda flani ukifika unapenda cheo kwa kujaza OPRAS, lakini kwa majeshi lazima uende kozi ya muda flani ndo upande cheo. Lazima uhenyeke.

6. Ukiwa kwenye majeshi unakuwa tayari kufa ili mwenzako wabaki salama. Hiki ki kiapo kikubwa kushinda vyote katika maisha, ni kutokana na kiapo hicho tunaweza kiwafikiria kuwafutia deni hilo la HESLB.
Lazima utakuwa CCM wewe.
 
Habari waungwana? Nimekuwa nikipita mitaani na kuongea na marafiki na jamaa zangu walioko serikalini, kwa kweli wanaumizwa sana na deni la HESLB.

Sheria inatoa mwanya kuchukuliwa kwa % 15 ya mishahara yao ghafi kulipia deni hilo la elimu ya juu. Sio mbaya sana kwani dawa ya deni ni kulipa. Lakini kwa wafanyakazi walioko kwenye vyombo vya ulinzi wangepata msamaha wa deni hilo. Nina sababu kadhaa za kwanini wasamehewe.

1. Deni la HESLB huwa linaleta stress kwa mtu akiwa analipa deni hilo. Mtu hukosa utulivu wa akili kila akiangalia salary slip yake hivyo kuwa na mawazo muda mwingi.

2. Vyombo vyetu vya ulinzi vina kazi ya ziada kuhalikisha tuko salama usiku na mchana, hivyo inakuwa kama zawadi kwa kazi hiyo mgumu sana ya kulinda raia, mali na mipaka ya nchi yetu.

3.Wanufaika wa HESLB waliopo kwenye vyombo hivyo sio wengi sana kiasi kwamba serikali itapoteza fedha nyingi.

4. Kama kwenye huduma zingine za umma huwa vyombo vyetu hupewa kipaumbele kama vile kwenye usafiri, mabenki kwanini hapa serikali isifumbe macho.

5. Kwa watumishi wengine kupanda cheo ni baada ya muda flani ukifika unapenda cheo kwa kujaza OPRAS, lakini kwa majeshi lazima uende kozi ya muda flani ndo upande cheo. Lazima uhenyeke.

6. Ukiwa kwenye majeshi unakuwa tayari kufa ili mwenzako wabaki salama. Hiki ki kiapo kikubwa kushinda vyote katika maisha, ni kutokana na kiapo hicho tunaweza kiwafikiria kuwafutia deni hilo la HESLB.
Sijasoma hadi mwisho ulichoandika but utaniwia radhi kwa kusema umeandika mashudu...pia hakuna shuruti ya kuingia huko ikiwa na maana kwamba utakubaliana na chochote utakacho kikuta huko hapa namaanisha kwenye vyombo ulivyo vizungumzia hapo, hapo ndio concept ya uzalendo inapokuja kama ulikua hufahamu, uzalendo sio kupigapiga kelele tuu hatahilo linalokugusa wewe sasa ndio uzalendo wenyewe huo hahahaha
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom