Salaam Waheshimiwa,,...kama kuna yoyote mjuzi au mwenye ufaham zaidi juu ya suala zima la kuwasaidia hawa watoto namna ya ujazaji wao wa mkopo via internet atoe namba yake,,....atalipwa awajazie hawa wahanga maana ni kilio cha watoto wa wakulima na wa mamantilie,,,,,,,while others they are continour to enjoy the National Cake Of Their Country,,...!!