Msingida
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 9,729
- 10,811
Tunaishukuru Serikali kuondoa adhabu kwenye deni la bodi ya mikopo elimu ya juu.
Kuna waliorejesha na kupitiliza, wanahitaji kurejeshewa kiasi kilichozidi baada ya kulipa deni.
Ni zaidi ya miezi sita sasa sijaona nikirejeshewa kiasi kilichozidi, japo nilikamilisha hatua zote za "loan refund"
Naomba ufanunuzi wahusika, JF hamkosekani.
Kuna waliorejesha na kupitiliza, wanahitaji kurejeshewa kiasi kilichozidi baada ya kulipa deni.
Ni zaidi ya miezi sita sasa sijaona nikirejeshewa kiasi kilichozidi, japo nilikamilisha hatua zote za "loan refund"
Naomba ufanunuzi wahusika, JF hamkosekani.