Masiya
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 7,578
- 7,281
BODI imesha toa kwa kutangaza majina ya waliopata mkopo kwa awamu mbili. Hili ni sawa kabisa lakini unapotoa majina takribani 10000 kwa mfano unakuwa umeptia majina mengi zaidi, kwa nini wale ambao bodi imeamua hawatapata au wamekosa mkopo nao wasitangazwe?
Vyuo kama UDSM, SAUT vimesha waita vijana lakini kuna ambao hawajui kama wamekosa tayari hivyo bachi ya tatu ikitangazwa ndo wengine watajua kama wamekosa na maumivu kuanzia hapo. (NB: Sina account HESLB lakini kupitia hapa JF sijaona anaesema amekosa kila mtu anasubiri toleo la mwisho).
Hata tarehe wanayotegemea kutoa hiyo awamu ya tatu haijulikani. UDSM kwa mfano wanasema kama hujalipa ada (huatapata access ya boarding). Je vyuo vitapokea wanafunzi bila malipo?
Vyuo kama UDSM, SAUT vimesha waita vijana lakini kuna ambao hawajui kama wamekosa tayari hivyo bachi ya tatu ikitangazwa ndo wengine watajua kama wamekosa na maumivu kuanzia hapo. (NB: Sina account HESLB lakini kupitia hapa JF sijaona anaesema amekosa kila mtu anasubiri toleo la mwisho).
Hata tarehe wanayotegemea kutoa hiyo awamu ya tatu haijulikani. UDSM kwa mfano wanasema kama hujalipa ada (huatapata access ya boarding). Je vyuo vitapokea wanafunzi bila malipo?