HESLB: kwa waliokosa mkopo

mkuu wa vilaza

Senior Member
Apr 25, 2015
192
85
Nikiwa kama mhanga wa kukosa mkopo na faculty yangu ni priority nimefika bodi ya mikopo leo asubuhi na mapema nikaweza kuwaeleza tatizo wakaniambia sikusaini fomu hivyo nikaenda kwa anayehusika na kuhifadhi document akachukua fomu yangu na lack enough imesainiwa hivyo nikaambiwa nisubiri mkopo nitapata....
ushauri kwa ambao hawajapata na kozi zao ni priority nenda bodi ya mikopo yaweza ikawa kuna matatizo kwenye fomu ili ujirizishe usikae jamiiforums ukilalamika umekosa uku ujui unafanya unakosa ni nini??....
kwa mfano form 6 kama umemaliza kuanzia 2012 kushuka chini sidhani kama mnapata mkopo so it's better kujua tatizo before blaming somebody...
mkuu wa vilaza
ni jina tuu don't judge
 
Last edited by a moderator:
Nikiwa kama mhanga wa kukosa mkopo na faculty yangu ni priority nimefika bodi ya mikopo leo asubuhi na mapema nikaweza kuwaeleza tatizo wakaniambia sikusaini fomu hivyo nikaenda kwa anayehusika na kuhifadhi document akachukua fomu yangu na lack enough imesainiwa hivyo nikaambiwa nisubiri mkopo nitapata....
ushauri kwa ambao hawajapata na kozi zao ni priority nenda bodi ya mikopo yaweza ikawa kuna matatizo kwenye fomu ili ujirizishe usikae jamiiforums ukilalamika umekosa uku ujui unafanya unakosa ni nini??....
kwa mfano form 6 kama umemaliza kuanzia 2012 kushuka chini sidhani kama mnapata mkopo so it's better kujua tatizo before blaming somebody...
mkuu wa vilaza
ni jina tuu don't judge

Hahahahahahaaa kweli wewe ni mkuu wa vilaza haya ngoja waje, nilisoma enzi zile hakuna upuuzi wa Loan board. Jaribu kubadilisha jina lako maana naona lina reflect uhalisia wako
 
Last edited by a moderator:
Hahahahahahaaa kweli wewe ni mkuu wa vilaza haya ngoja waje, nilisoma enzi zile hakuna upuuzi wa Loan board. Jaribu kubadilisha jina lako maana naona lina reflect uhalisia wako

Hahaa itakuwa typing error mpwa....huna dogo???
 
Last edited by a moderator:
mimi najiona kama mtu asiye na bahati,kwani naomba watuambie wapi tulikosea.nimeona kuna mtu ana index no. ya 1992 kama sikosei mwingine 1998 wamepata,nipo chuo nasubiri naona lot zote zinapita.sina nauli ya kwenda dar heslb,nifanyeje ili nipatiwe mkopo bila kuwafuata?
 
sio kweli kwamba mtu akiwa na index namba ya mwaka 1992 basi hana sifa ya kupata mkopo
Bodi ya Mikopo inaangalia mwaka wa kidato cha sita au diploma na kwenye kufanya maombi mwombaji hutumia namba ya kidato cha 4.
mfano Mtu y alimaliza kidato cha nne mwaka 1992 lakini baada ya miaka kupita kaanza masomo na amehitimu diploma 2013 huyu atakuwa na sifa ya kupewa mkopo
 
Back
Top Bottom