msuya4real
Member
- Oct 14, 2016
- 76
- 27
Kuna jambo najiuliza tu hivi bodi ya mikopo iko sahihi inapotangaza siku 90 za kukata rufaa kwa wanafunzi wote waliokosa mikopo, hivi kwa hali ya kawaida tu hizo siku 90 mwanafunz ataishije chuoni, huku pia hajui kuwa atafanikiwa kupata au laaaa!
Bora wawaambie watu watafute means nyingine maana cha kupata hapo ni ndoto kwa kweli, vijana wengi naona wanarudi nyumbani baada ya kuona hali sio nzuri kabisa ya kiuchumi ni hayo tyuuuuuuuuu wapendwa wa JF
Bora wawaambie watu watafute means nyingine maana cha kupata hapo ni ndoto kwa kweli, vijana wengi naona wanarudi nyumbani baada ya kuona hali sio nzuri kabisa ya kiuchumi ni hayo tyuuuuuuuuu wapendwa wa JF