HESLB itaifuta tozo ya adhabu 10% kama ilivyoagizwa na serikali?

Retina

JF-Expert Member
Mar 6, 2015
1,038
1,154
Akiwasilisha makadirio ya bajeti ya Wizara ya Elimu Sayansi na Teknolojia tarehe 9.

04 May 2021, aliiagiza bodi ya wakurugenzi ya heslb kufuta makato ya 10% yanayotozwa na bodi kwa waliochelewa kurejesha.

Kumekuwa na ukimya kama kwamba hilo agizo halipo na website ya bodi hakuna tangazo la kufutwa 10% tozo la adhabu, badala yake kuna tangazo la kufutwa 6% ya value retention fee.

Akisoma makadirio ya bajeti ya serikali, Waziri wa Fedha na Mipango ametaja kufutwa kwa vrf na hakuta kufutwa kwa 10% makato ya adhabu, hata Ile ya 1% makato ya utawala.

Kama 10% na 1% haitafutwa MZIGO wa makato utaendelea kuwatesa wanufaika. Ninaomba mamlaka husika zilitolee ufafanuzi hili suala.
 
Hakuna kilichofanyika mpaka sasa
Zaidi ya mkorogano
Nimecheki balance kwenye Salary slip na kukuta Deni la may na la June linatofauti ya shs 15/= tu wakati makato yao ya 15% kwenye basic salary yapo constant!
 
Hakuna kilichofanyika mpaka sasa
Zaidi ya mkorogano
Nimecheki balance kwenye Salary slip na kukuta Deni la may na la June linatofauti ya shs 15/= tu wakati makato yao ya 15% kwenye basic salary yapo constant!
Wamesharekebisha salary slip,ila hadi sa hiv hawatoi loarn statement

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom