aseenga
Senior Member
- Jul 13, 2011
- 106
- 86
inashangaza sana kuona watu waliosomeshwa na serekali wanasema uongo. jambo hili limetokea kwa mkurugenzi wa loans body,baada ya kuutangazia uma kwamba wanafunzi wote walochaguliwa ktk raund ya pili na zilizofuatia kujiunga na elimu ya juu kuwa wote waliarifiwa hawatpewa mikopo, jambo ambalo c la kweli. walichocctiza ni kwamba wanafunzi wote waende chuoni wakaombee mikopo huko. SASA INAVYOONEKANA WAMETUSALITI.