kumekuapo na tetesi kati ya wanavyuo mbalimbali wakidai bodi ya mikopo imeongezea pesa kwa wanufaika wa awali pesa za field shilingi elfu 60 kwa kila mnufaika wa awali.. huku wengine wakidai ni zaidi ya pesa hiyo katika website yao Higher Education Students' Loans Board -HESLB hawajaandika chochote kuhusu taarifa hii? kuna ukweli kuhusu suala hili tafadhari ufafanuzi mwenye kujua suala hili