Heslb div 3.14 mpaka 3.16 kupewa mkopo ndo sera yenu.

Yaan km mzumbe weng wamekula za mbavu, njoo ifm sasa m2 ana div 3 ya 16 kala milion kibao. Aya bwana wao ndo wenye "nji" wameshasoma wameamua kutubumisha sis viele ele tuliokuwa tuna kesha na kusoma mituition, mara mwenge mara msimbaz mara pugu practical, mara kwa mkumba, mara kwa ostadh. Thnx jk
<br />
<br />
du umenikumbusha mbali sana pale pugu boys
 
Wahusika bodi ya mkopo leo asubuhi walikuwa live channel ten. Moja ya point waliyo zungumza ni kwamba. Kwa sasa tofauti na miaka ya nyuma; 1. wanafunzi wote walio pata vyuo wana haki sawa ya kupata mkopo. 2. Mikopo kwa sasa itatolewa kufuata mahitaji ya chuo na sio kwa % kama ilivyo kuwa awali. 3. Bajeti iliyotolewa na serikali Bilion 300 haikidhi mahitaji ya wanafunzi wote hivyo 4.Wawetoa mkopo kwa kuanza na vitivo vya kipaumbele,kisha kwa vitivo vingine Mpaka pale bajeti ilipokomea. 5. Wametoa wito kwa ambao hawajapata mkopo waweze ku-appeal, ili kujaribu bahati yao. <br />
<br />
Mytake:<br />
KIWANGO CHA FEDHA KINACHOTENGWA NA SERIKALI KWA AJILI YA BODI YA MIKOPO YAPASWA KIONGEZEKE ILI KUKIDHI WANAFUNZI WOTE WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA VYUO.
hawa wanataka kuwasumbua tu watoto, ikiwa bajeti haitosh, itatosha baada ya kuappeal? Wanakera wapuuz hawa, tena mtu kama ana wazazi/mzazi asijaribu hata kuappeal
 
Kazi ya Bodi ya Mikopo ni nini?

Kuna mdogo wangu alienda kuwauliza kama anaweza kulipa mkopo wake aliopewa kwa mkupuo 1995 - wakamjibu kuwa asubiri kwanza wana kazi nyingi!
 
WALIOKOSA MKOPO ni wale waliomba vitivo ambavyo havipo kwenye first priority ya gvnt! ni mtazamo 2 wadau!
 
Yan,for the 1st time in my adult life nimetokea kuichukia serikali ilyoko madarakani.
 
Kazi ya Bodi ya Mikopo ni nini?<br />
<br />
Kuna mdogo wangu alienda kuwauliza kama anaweza kulipa mkopo wake aliopewa kwa mkupuo 1995 - wakamjibu kuwa asubiri kwanza wana kazi nyingi!
<br />
<br />
bodi ni w.a.s.e.n.g.e sana,kuna jamaa yangu alikua anasoma sua akadisco bt cha kushangaza anapewa bumu had leo.
 
Toka TCU watoe majina nakusikia wanafunzi wakilalama ikanibidi nifanye utafiti kuna wanafunzi wengi wenye div 3 ambao kwa miaka ya nyuma ila wapate mkopo inabidi wachague UALIMU AMA KWENDA KUSOMEA SAYANSI ila sera ya mwaka huu ni kinyume kabisa kwani wenye haki ya kupata mkopo wamekosa ila wasio na vigezo vya kupata mkopo wamepata wengi wao hao wamechaguliwa vyuo vya private sababu kwa point izo ni vigumu kupata UDSM,MZUMBE, UDOM, nk swali kwa HESLB ushaidi tunao ukitaka tunaweka majina ya hao wanafunzi na point zao waliopata form 6 na vyuo walivyochaguliwa je kwa staili hii tunakuza Elimu ama tunadumisha vilaza Tanzania?<br />
My Take:<br />
Kwa wanafunzi wenye div 2 na 1 daini haki yenu tena ikibidi nendeni na hao waliopewa mikopo fika wakitambua hawana vigezo kwani natumaini mnawajua.
<br />
<br />
Nitarudi
 
we unaongea nn? kuna jamaa wa HKL ana E E F amepata tourism chuo cha stephano memorial na mkopo juu na si peke yk bal wapo weng 2. hii ni heslb au HAZABU' Ebu nisaidieni
 
Back
Top Bottom