Chuo kipi hicho?
<br />tembelea <a href="http://www.mist.ac.tz" target="_blank">Mbeya Institute of Science and Technology | home page</a> then cheki majina hayo alafu ingia website ya BODI uangalie km kuna mtu hata mmoja aliyepata then nijibu
<br />
<br />
hata sekuco wapo kibao waliokosa mkopo ambao walitumia equavalent na mature age eti wanadai wao ni wafanyakazi hivyo walipiwe na mabosi zao
<br />heslb wangeweka basi majina ya wote wiliotuma maimbi ya mkopo ili hata mtu ajue yuko wapi, maana kuna wengine majina hayajaappear kokote!!!
<br />
<br />
ukiona jina lako halipo sehemu yoyote elewa form yako haikufika.
<br />Hapana, huwa yanarudishwa kwenye address ambayo uliiweka.
<br />
<br />
ndio majibu bodi inayotoaga hayo.