HESLB (BODI) na EQUIVALENT

Mkillindy

Member
Sep 14, 2011
37
4
Mpaka hv sasa wanafunzi walioomba mkopo kwa kutumia matokeo ya equivalent ktk chuo fulani hawajapata mkopo.
Cjui na ww pia u-mmoja wao/unajua chuo kingine au la!
Je, unafikiri ni nini tatizo au ni kwamba hawo wanafunzi hawaruhusiwi kupata mkopo??????
 
tembelea <a href="http://www.mist.ac.tz" target="_blank">Mbeya Institute of Science and Technology | home page</a> then cheki majina hayo alafu ingia website ya BODI uangalie km kuna mtu hata mmoja aliyepata then nijibu
<br />
<br />
hata sekuco wapo kibao waliokosa mkopo ambao walitumia equavalent na mature age eti wanadai wao ni wafanyakazi hivyo walipiwe na mabosi zao
 
<br />
<br />
hata sekuco wapo kibao waliokosa mkopo ambao walitumia equavalent na mature age eti wanadai wao ni wafanyakazi hivyo walipiwe na mabosi zao

Wanawanyanyasa tu watoto, kwani c wote wana ajira/wameajiriwa. Watakwenda wapi hawoooooooooooo?
 
ki ukweli serikali ilikuwa inawahimiza watumishi wake wajiendeleze walitoa mpaka waraka walichogundua ni watumishi wengi sana wameitikia wito wa kujiendeleza hususani walimu ambao wanajiendeleza na wengi wao wanabadili fani so serikali imeshtuka
 
nashindwa kuwaelewa hawa bodi kama walikuwa hawataki watu wa equivalent wasingeweka kipengele cha equivalent!
 
kuna rafiki yangu ni mwl wa primary amejiendeleza mwaka huu amepata chuo mkopo amepata asilimia 35 kachanganyikiwa balaa
 
Kila mwanafunzi wa Kitanzania ni haki yake kupata mkopo kwa ajili ya elimu ya juu, lakini ngijangija zote hizo zinatokana na umasikini uliokithiri kwenye nchi yetu.
 
Watapata tuu mkopo, majina yaliyotolewa na bodi ni ya kupitia TCU na siyo NACTE. Kuna mkanganyiko kati ya hizi taasisi mbili ila cha msingi ni kuwa utapata maake na sisi tumepitia huko huko lkn tumepata.
 
kiukweli mimi kwa uelewa wangu mdogo, nadhani uongozi wa bodi ya mikopo huwa autambui nini maana ya mikopo ndio maana wanawasumbua walipa kodi wenzangu
 
Watapata tuu mkopo, majina yaliyotolewa na bodi ni ya kupitia TCU na siyo NACTE. Kuna mkanganyiko kati ya hizi taasisi mbili ila cha msingi ni kuwa utapata maake na sisi tumepitia huko huko lkn tumepata.
Hapo kwenye nyekundu ndio pana mantiki yote!
 
Ni kweli mkuu kuna mkanganyiko sana kati ya TCU na NACTE,make TCU hawataki kusikia kabisa kitu Equivalent!.Ila sasa HESLB nao vipi wamewaunga mkono TCU?.Nashindwa hapa ni laumu mojakwamoja HESLB,TCU,au CHUO nilichoomba kwamba hawajapeleka majina HESLB?! Mbaya zaidi hata chuo nilichoomba hakijatoa majina,so si ajabu ni kweli hawajapeleka majina,lakini jina langu mbona silioni kati ya waliokosa HESLB?.
 
heslb wangeweka basi majina ya wote wiliotuma maimbi ya mkopo ili hata mtu ajue yuko wapi, maana kuna wengine majina hayajaappear kokote!!!
 
heslb wangeweka basi majina ya wote wiliotuma maimbi ya mkopo ili hata mtu ajue yuko wapi, maana kuna wengine majina hayajaappear kokote!!!
<br />
<br />
ukiona jina lako halipo sehemu yoyote elewa form yako haikufika.
 
Back
Top Bottom