CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,250
- 12,868
- Thread starter
- #41
mwenzangu charminglady niliposikia alikuwa na mwalimuu nikajua wewe
mh,we mama mie na ualimu wapi na wapi!
Last edited by a moderator:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mwenzangu charminglady niliposikia alikuwa na mwalimuu nikajua wewe
viongozi wa dini huzika mwili na wala si roho, mwili hauna thamani baada ya uhai wa mtu kumtoka na ndio maana unaishia kuoza na hatimaye kuwa mavumbi.
Wastage of government funds! Why don't they just take his body to KIA then from there drive his body to Marangu? Why should they take him to Dar then MOSHI? What a pitty country...
Mkuu ni PM namba yako nikutafuteKaribu hapa juu Tivoli nakata kiu
yeah,nipo mza but sikupata fursa ya kwenda make ofisi nzima imekwenda huko mie tu ndo mebaki kulinda ofisî. ila naweza kushuhudia umati wa watu na kusikiliza kwa mbali sana make nipo orofani!
mhh...na wewe afande nn???!!
viongozi wa dini huzika mwili na wala si roho, mwili hauna thamani baada ya uhai wa mtu kumtoka na ndio maana unaishia kuoza na hatimaye kuwa mavumbi.
hahaa hapana bana!
View attachment 68195
Mkuu charminglady na huyo mwenye picha hapo juu atakuwepo..kama atakuwepo wallah na kuja
Hii Picha ndio maana RPC amekufa katiak Zinaa!!!!!!!!!!!!!View attachment 68195
Mkuu charminglady na huyo mwenye picha hapo juu atakuwepo..kama atakuwepo wallah na kuja
View attachment 68195
Mkuu charminglady na huyo mwenye picha hapo juu atakuwepo..kama atakuwepo wallah na kuja
sasa ni watu gani hao ambao ofisi nzima wanaenda kwenye mazishi ya RPC!??
hahahah poti charminglady!
shkamoo afande...
CHADEMA wametuma mwakilishi, amemsifia Kamanda Barlow, na kuwasihi wanachi watumie dhana ya NDUVU YA UMMA kuwafichua waliomuua na kuendeleza ushirikiano na Jeshi la Polisi Mwanza, kwani hawana ugomvi nalo.
Lakini aliwashangaza wengi kwani wakati Chama cha mapinduzi kisicho na mbunge hapa Mwanza wa kuchaguliwa kimetoa 1,000,000/- kama rambi rambi, Chadema yenye wabunge wawili wa kuchaguliwa hawajatoa hata jero. Hii ilisababisha minung'uno kwa waliohudhuria, kwani ambaye hakuwasilisha rambi rambi ni mwakilishi wa CHADEMA.
Unaagwa hapa nyamagana, kisha unapelekwa kwa ndege dar. kesho j4 mazishi na maziko kwake marangu, kilimanjaro.
Mbona Mke wake na watoto hawatajwi wala sijaona maali wanaomboleza!mmm ebu nijulisheni mnieleweshe