Giddy Mangi
JF-Expert Member
- Feb 14, 2011
- 830
- 184
Mh Freeman Aikaeli Mbowe Kamanda Wa Anga hata Jwtz wanalitambua jina hilo ndio maana walimpakia kwenye ndege ya Jeshi kutoka Dar hadi KIA. Nieleze umuhimu wa Mh Mbowe kwa Tanzania pia CHADEMA, leo Watanzania wengi zaidi wanapata fursa ya kuwaona na kuwasikiliza wagombea wa Uraisi baada ya Mh Mbowe kuvumbua utumiaji wa Chopper kwenye Campaign.
leo CHADEMA wamepata Uniform ambazo ni maarufu sana na zinazopendwa zaidi na Watanzania kwani hata Viongozi wa CCM wanavaa akiwemo Nape. Leo CHADEMA ina Usemi Slogan ya "PEOPLES POWER" ambayo imewanyima na inawanyima CCM Usingizi akiwemo Kikwete, mkewe na Wasirra. Leo Chadema wana Public Address System za kisasa na bora zaidi nchini kama mali ya Chama.
CHADEMA imefikishwa hapo ilipo na akili na nguvu za ziada za Mbowe. Wote mnaobeza na hata mara nyingine mnadiriki kutukana na kudhihaki ninawachukulia kama Wehu, CCM, Manyang'au, Majuha na msiopenda maendeleo na mabadiliko ya Nchi yetu Tanzania.
Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki Chadema na Mungu bariki kazi ya mikono ya Mbowe mbunge wa Hai.
leo CHADEMA wamepata Uniform ambazo ni maarufu sana na zinazopendwa zaidi na Watanzania kwani hata Viongozi wa CCM wanavaa akiwemo Nape. Leo CHADEMA ina Usemi Slogan ya "PEOPLES POWER" ambayo imewanyima na inawanyima CCM Usingizi akiwemo Kikwete, mkewe na Wasirra. Leo Chadema wana Public Address System za kisasa na bora zaidi nchini kama mali ya Chama.
CHADEMA imefikishwa hapo ilipo na akili na nguvu za ziada za Mbowe. Wote mnaobeza na hata mara nyingine mnadiriki kutukana na kudhihaki ninawachukulia kama Wehu, CCM, Manyang'au, Majuha na msiopenda maendeleo na mabadiliko ya Nchi yetu Tanzania.
Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki Chadema na Mungu bariki kazi ya mikono ya Mbowe mbunge wa Hai.