mgeni wenu
JF-Expert Member
- Jan 2, 2012
- 3,664
- 1,730
Kwako Mweneyekiti (taifa) wa CCM na ambae kikatiba ni Rais wangu mpendwa japo sku hizi hupendwi saana,naona kila siku na kil mwana CCM amekuwa akijaribu sana kuirudisha Heshima ya Chama cha Mapinduzi kwa Nguvu ya kukomkosoa Nassari Joshua,
Kama wana CCM hawa wangetumia nguvu hizi na maneno haya makali kutetea Rasilimali za nchi na kutia mkazo katika kuwachukulia hatua kali woote wanaofuja na kuiba mali za Umma hakika sifa ya chama hiki chakavu angalau ingerudi,lakini blah blah wanazopiga majukwaani hjazina mantiki katika kulinusuru Taifa,pia kama file la Ekelege na Mawaziri wako lingeenda kwa Dpp kwa mbwembwe kama lilivyoenda la Nassari tungejua kweli wana CCM sasa mmeamua kulitetea taifa na sasa mnayo dira
Mh Mwenyekiti najua hata kama sio wewe mwanao mpenzi Rizwani hupita humu na kwa kuwa rafiki yangu Mpendwa Mwigulu na mshkaji wetu Nape kaisoma hii mtakaa chini na kutafakari.
Hii ni kwa afya ya nchi na rejuvination ya chama chakavu
Kidumu chama cha mapinduzi..
Mgosi mgeni wenu wa JF(mpiga kura toka Tanga)
Kama wana CCM hawa wangetumia nguvu hizi na maneno haya makali kutetea Rasilimali za nchi na kutia mkazo katika kuwachukulia hatua kali woote wanaofuja na kuiba mali za Umma hakika sifa ya chama hiki chakavu angalau ingerudi,lakini blah blah wanazopiga majukwaani hjazina mantiki katika kulinusuru Taifa,pia kama file la Ekelege na Mawaziri wako lingeenda kwa Dpp kwa mbwembwe kama lilivyoenda la Nassari tungejua kweli wana CCM sasa mmeamua kulitetea taifa na sasa mnayo dira
Mh Mwenyekiti najua hata kama sio wewe mwanao mpenzi Rizwani hupita humu na kwa kuwa rafiki yangu Mpendwa Mwigulu na mshkaji wetu Nape kaisoma hii mtakaa chini na kutafakari.
Hii ni kwa afya ya nchi na rejuvination ya chama chakavu
Kidumu chama cha mapinduzi..
Mgosi mgeni wenu wa JF(mpiga kura toka Tanga)