Heshima ya CCM haitarudi kwa kukosoa Kauli ya Nassari bali kuwafunga Mawaziri na watu

mgeni wenu

JF-Expert Member
Jan 2, 2012
3,664
1,730
Kwako Mweneyekiti (taifa) wa CCM na ambae kikatiba ni Rais wangu mpendwa japo sku hizi hupendwi saana,naona kila siku na kil mwana CCM amekuwa akijaribu sana kuirudisha Heshima ya Chama cha Mapinduzi kwa Nguvu ya kukomkosoa Nassari Joshua,
Kama wana CCM hawa wangetumia nguvu hizi na maneno haya makali kutetea Rasilimali za nchi na kutia mkazo katika kuwachukulia hatua kali woote wanaofuja na kuiba mali za Umma hakika sifa ya chama hiki chakavu angalau ingerudi,lakini blah blah wanazopiga majukwaani hjazina mantiki katika kulinusuru Taifa,pia kama file la Ekelege na Mawaziri wako lingeenda kwa Dpp kwa mbwembwe kama lilivyoenda la Nassari tungejua kweli wana CCM sasa mmeamua kulitetea taifa na sasa mnayo dira
Mh Mwenyekiti najua hata kama sio wewe mwanao mpenzi Rizwani hupita humu na kwa kuwa rafiki yangu Mpendwa Mwigulu na mshkaji wetu Nape kaisoma hii mtakaa chini na kutafakari.
Hii ni kwa afya ya nchi na rejuvination ya chama chakavu
Kidumu chama cha mapinduzi..
Mgosi mgeni wenu wa JF(mpiga kura toka Tanga)
 
Kwako Mweneyekiti (taifa) wa CCM na ambae kikatiba ni Rais wangu mpendwa japo sku hizi hupendwi saana,naona kila siku na kil mwana CCM amekuwa akijaribu sana kuirudisha Heshima ya Chama cha Mapinduzi kwa Nguvu ya kukomkosoa Nassari Joshua,
Kama wana CCM hawa wangetumia nguvu hizi na maneno haya makali kutetea Rasilimali za nchi na kutia mkazo katika kuwachukulia hatua kali woote wanaofuja na kuiba mali za Umma hakika sifa ya chama hiki chakavu angalau ingerudi,lakini blah blah wanazopiga majukwaani hjazina mantiki katika kulinusuru Taifa,pia kama file la Ekelege na Mawaziri wako lingeenda kwa Dpp kwa mbwembwe kama lilivyoenda la Nassari tungejua kweli wana CCM sasa mmeamua kulitetea taifa na sasa mnayo dira
Mh Mwenyekiti najua hata kama sio wewe mwanao mpenzi Rizwani hupita humu na kwa kuwa rafiki yangu Mpendwa Mwigulu na mshkaji wetu Nape kaisoma hii mtakaa chini na kutafakari.
Hii ni kwa afya ya nchi na rejuvination ya chama chakavu
Kidumu chama cha mapinduzi..
Mgosi mgeni wenu wa JF(mpiga kura toka Tanga)

Mgosi, Washaambiwa meeengi tu pamoja na hayo, nadhana hiyo habari ya kulitetea taifa sio agenda yao, wala heshima ya chama (CCM) haiwanyima usingizi hao. Litaingia huku na kutokea kule.
Anyway endelea kuwa na matumaini.
 
Kukaa kimya ni vibaya zaidi nimeona ni bora niongee
Mgosi, Washaambiwa meeengi tu pamoja na hayo, nadhana hiyo habari ya kulitetea taifa sio agenda yao, wala heshima ya chama (CCM) haiwanyima usingizi hao. Litaingia huku na kutokea kule.
Anyway endelea kuwa na matumaini.
 
thanks

Maana sasa wamehamisha kabisa national interest kwa kijana wa kitaa

what a shame
 
Kwako Mweneyekiti (taifa) wa CCM na ambae kikatiba ni Rais wangu mpendwa japo sku hizi hupendwi saana,naona kila siku na kil mwana CCM amekuwa akijaribu sana kuirudisha Heshima ya Chama cha Mapinduzi kwa Nguvu ya kukomkosoa Nassari Joshua,
Kama wana CCM hawa wangetumia nguvu hizi na maneno haya makali kutetea Rasilimali za nchi na kutia mkazo katika kuwachukulia hatua kali woote wanaofuja na kuiba mali za Umma hakika sifa ya chama hiki chakavu angalau ingerudi,lakini blah blah wanazopiga majukwaani hjazina mantiki katika kulinusuru Taifa,pia kama file la Ekelege na Mawaziri wako lingeenda kwa Dpp kwa mbwembwe kama lilivyoenda la Nassari tungejua kweli wana CCM sasa mmeamua kulitetea taifa na sasa mnayo dira
Mh Mwenyekiti najua hata kama sio wewe mwanao mpenzi Rizwani hupita humu na kwa kuwa rafiki yangu Mpendwa Mwigulu na mshkaji wetu Nape kaisoma hii mtakaa chini na kutafakari.
Hii ni kwa afya ya nchi na rejuvination ya chama chakavu
Kidumu chama cha mapinduzi..
Mgosi mgeni wenu wa JF(mpiga kura toka Tanga)


Excellent Mgosi, hii imekaa vizuri, niliangalia TBC news jana usiku ikaonyesha kwa muda wa dk karibia 3 wale WaCCM kule Dodoma waliondamana kisa hotuba ya Nassari. Kama kweli wanauchungu na nchi hii kwanini wasingeandamana kumshinikiza Raisi amwajibishe Dr Hosea ambaye alilidanganya bunge na taifa kuhusu Richmond kuwa ilikuwa kampuni safi kabisa?? Kama kweli wanuchungu na taifa hili kwanini wasiandamane kuishinikiza serikali iwapeleke mahakamani wote waliohusika kuchota hela kupitia Kagoda, Meremeta na mengi ambayo yapo wazi kabisa?? Mwenyekiti wa CDM ameuwawa kule Arusha na makada wengine wengi, hali hiyo inshika kasi, hivi hali hiyo hawawezi kuona inaweza kuhatarisha hali ya amani nchini???
 
Back
Top Bottom