sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,408
- 19,026
Katika maisha ya Mwanaume, hasa chini ya 35, Sex ni symbol yenye uzito mno.
Hata akiwa fukara atapata ahueni kama anazo nguvu za kiume.
Mwanaume akiwa na umbile dogo hata confidence inashuka,
Akisifiwa ana perform vizuri, hio sifa kwake ni kubwa kuzidi pongezi atazopewa kuchangia harambee
Vipo vituko kwamba wengine hugeuka kulia, kutetemeka mithiri ya kifafa, kuongea lugha za kikabila na wengine kupiga roba pindi tukio linapoendelea.
Ukianzisha biashara ya kutatua matatizo ya hio sekta, pesa ipo nyingi sana na wote ni mashuhuda.
Ila kwa wanawake, kwao ngono sio kipambele kama ilivyo kwa wanaume, wengi hufanya sex kama usukani wa kumwendesha mwanaume, Anaweza kuotumia ili kuendesha mahusiano, hutumia sex kupata kitu flan mfano attention, n.k Mwanamke anaweza kufanya ngono na wanaume hata 20 kwa siku bila kuchoka tofaut na mwanaume akipiga mishindo miwili mitatu hapo inabidi siku ipite.
Sasa najiuliza kipaumbele kwa wanawake huwa ni kipi? Je, ni watoto, ndoa, heshima, au kipi??
Hata akiwa fukara atapata ahueni kama anazo nguvu za kiume.
Mwanaume akiwa na umbile dogo hata confidence inashuka,
Akisifiwa ana perform vizuri, hio sifa kwake ni kubwa kuzidi pongezi atazopewa kuchangia harambee
Vipo vituko kwamba wengine hugeuka kulia, kutetemeka mithiri ya kifafa, kuongea lugha za kikabila na wengine kupiga roba pindi tukio linapoendelea.
Ukianzisha biashara ya kutatua matatizo ya hio sekta, pesa ipo nyingi sana na wote ni mashuhuda.
Ila kwa wanawake, kwao ngono sio kipambele kama ilivyo kwa wanaume, wengi hufanya sex kama usukani wa kumwendesha mwanaume, Anaweza kuotumia ili kuendesha mahusiano, hutumia sex kupata kitu flan mfano attention, n.k Mwanamke anaweza kufanya ngono na wanaume hata 20 kwa siku bila kuchoka tofaut na mwanaume akipiga mishindo miwili mitatu hapo inabidi siku ipite.
Sasa najiuliza kipaumbele kwa wanawake huwa ni kipi? Je, ni watoto, ndoa, heshima, au kipi??