Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,786
Watu wa USA huwa nawasikia wakisema mara nyingi hasa kwenye vyombo vya habari kwamba If you knew then what you know now, would you ...? Hivyo basi nina uhakika Rais wetu mstaafu Kikwete alikuwa na nia njema kabisa wakati tunabadilisha jina la Mtaa/Br. Kivukoni kwenda Barack Obama ambalo ndilo jina la Mtaa ilipo Ikulu yetu!
Lkn sasa muda umepita na mara nyingi muda hutoa majibu ya mambo mengi, ambapo hutupa pia mtazamo mwingine kabisa, hivyo basi nina uhakika kabisa Raisi Kikwete leo hii ana mtazamo tofauti na uamuzi wake sema tu hana uwezo wa kubadilisha chochote!
Hivyo Mkuu wa Mkoa Makonda wewe ndiyo mwenye huo uwezo tafadhali tuondolee hii dhihaka wakazi wa Dar kwa kuondoa hili jina, huyu mtu (Barack Obama) ni war criminal, hakuna Rais wa USA aliyeua moja kwa kwa moja Waafrika kama Rais Obama, hakuna Raisi wa USA aliyeipuuzia Afrika kama Rais Obama, hivyo tafadhali Mkuu Mkoa wa Dar, usitufanye Dunia ituone wajinga, Obama hastahili kupewa jina la Mtaa hapa Tanzania, angalau mngeita George Bush, angalau labda tungekuwa na hoja kwa kiasi fulani kwa maana hata kuna Kiwanda Arusha Kikubwa cha textile kimejengwa kwa sababu ya fedha za George Bush, Bush alileta TZ yetu, 500 million US Dollars, alikaa ndani ya TZ yetu siku 4 akaenda mpaka Arusha kuna Watz wengi wamejiriwa leo hii Arusha kwa sababu ya fedha alizoleta G.Bush!
Lakini Obama haithamini Afrika hata kidogo na kama ulikuwa haumini nitakupa mfano Obama anamaliza muda wake miezi michache ijayo na ameshazunguka Dunia nzima kuaga, amekwenda Ulaya, Marekani Kusini, Kanada, Asia nchi mbali mbali pmj na kuhudhuria ASEAN (Asia) summit na kuaga rasmi lkn hajakanyaga Afrika kuaga, kwa nini? Kwa nini hajaenda kwenye Kikao cha AU kuaga?
Jibu ni rahisi sisi siyo muhimu kwake, sasa ni kwa nini sisi tunamthamini kiasi hicho mpaka kumpa jina la Mtaa wetu muhimu? Hivyo tafadhali ondoa Barack Obama road na rudisha Kivukoni yetu au kama jina lazima tubadilishe basi tuchukuwe majina yetu na kama ni lazima liwe jina la kigeni basi liwe mtu ambaye amegusa maisha yetu moja kwa moja na wapo wengi sana Dunia hii lkn siyo Obama!
Lkn sasa muda umepita na mara nyingi muda hutoa majibu ya mambo mengi, ambapo hutupa pia mtazamo mwingine kabisa, hivyo basi nina uhakika kabisa Raisi Kikwete leo hii ana mtazamo tofauti na uamuzi wake sema tu hana uwezo wa kubadilisha chochote!
Hivyo Mkuu wa Mkoa Makonda wewe ndiyo mwenye huo uwezo tafadhali tuondolee hii dhihaka wakazi wa Dar kwa kuondoa hili jina, huyu mtu (Barack Obama) ni war criminal, hakuna Rais wa USA aliyeua moja kwa kwa moja Waafrika kama Rais Obama, hakuna Raisi wa USA aliyeipuuzia Afrika kama Rais Obama, hivyo tafadhali Mkuu Mkoa wa Dar, usitufanye Dunia ituone wajinga, Obama hastahili kupewa jina la Mtaa hapa Tanzania, angalau mngeita George Bush, angalau labda tungekuwa na hoja kwa kiasi fulani kwa maana hata kuna Kiwanda Arusha Kikubwa cha textile kimejengwa kwa sababu ya fedha za George Bush, Bush alileta TZ yetu, 500 million US Dollars, alikaa ndani ya TZ yetu siku 4 akaenda mpaka Arusha kuna Watz wengi wamejiriwa leo hii Arusha kwa sababu ya fedha alizoleta G.Bush!
Lakini Obama haithamini Afrika hata kidogo na kama ulikuwa haumini nitakupa mfano Obama anamaliza muda wake miezi michache ijayo na ameshazunguka Dunia nzima kuaga, amekwenda Ulaya, Marekani Kusini, Kanada, Asia nchi mbali mbali pmj na kuhudhuria ASEAN (Asia) summit na kuaga rasmi lkn hajakanyaga Afrika kuaga, kwa nini? Kwa nini hajaenda kwenye Kikao cha AU kuaga?
Jibu ni rahisi sisi siyo muhimu kwake, sasa ni kwa nini sisi tunamthamini kiasi hicho mpaka kumpa jina la Mtaa wetu muhimu? Hivyo tafadhali ondoa Barack Obama road na rudisha Kivukoni yetu au kama jina lazima tubadilishe basi tuchukuwe majina yetu na kama ni lazima liwe jina la kigeni basi liwe mtu ambaye amegusa maisha yetu moja kwa moja na wapo wengi sana Dunia hii lkn siyo Obama!