Dena Amsi
R I P
- Aug 17, 2010
- 13,082
- 4,260
<br />Hilo linahitaji msaada wa kidakitari zaidi....<br />
ila nina swali, kwa nini wadada siku hizi wanapenda sana kusakizia watu mimba? hivi hawaoni aibu kuumbuka na siku hizi hivi kuna vipimo vya DNA?
<br />
Halafu wewe nani kakwambia maneno ya kizushi hayo mwone kwanza ole wako ujibu......BE karudi ndo maana nina jeuri