SAWEBOY
JF-Expert Member
- Apr 6, 2011
- 241
- 173
Wana JF,
poleni na majukumu ya kujenga taifa na familia zetu kwa ujumla.
Ninaomba ushauri wakuu,
Katika hali isiyo ya kawaida kuna dada mmoja anadai kuwa jamaa yake wa karibu kampa kibendi . Kinachoshangaza ni kuwa siku walipo-meet for game Bibie siku hiyo alikuwa off-likizo (Zile likizo zao) but ndo alikuwa anamalizia siku hiyo.Next day, jamaa yake akala mzigo, na siku iliyofuata. Wote walikuwa confortable coz hazikuwa siku za hatari.
Baada ya hapo jamaa yake akaingia mkoani for 3 month now, hawajaonana tena but bibie anadai toka siku ile haja-do tena, na ana mimba ya huyo msela!
Kinachoshangaza ni kuwa bibie off-likizo ni siku 4, ya tano na sita jamaa kala mzigo, sasa ina maana mimba inaweza shika siku ya sita au soon baada ya kumaliza MP? I mean hata kabla ya siku ya 9 to 16 or 17? Au bibie kaamua kumuuzia kesi jamaa alee hiyo mimba?
NB: Hawakutumia kinga, hilo lipo wazi, plse tunaomba ushauri wenu wakuu wa haya masuala ya privacy!
Natangulisha shukrani za dhati.
poleni na majukumu ya kujenga taifa na familia zetu kwa ujumla.
Ninaomba ushauri wakuu,
Katika hali isiyo ya kawaida kuna dada mmoja anadai kuwa jamaa yake wa karibu kampa kibendi . Kinachoshangaza ni kuwa siku walipo-meet for game Bibie siku hiyo alikuwa off-likizo (Zile likizo zao) but ndo alikuwa anamalizia siku hiyo.Next day, jamaa yake akala mzigo, na siku iliyofuata. Wote walikuwa confortable coz hazikuwa siku za hatari.
Baada ya hapo jamaa yake akaingia mkoani for 3 month now, hawajaonana tena but bibie anadai toka siku ile haja-do tena, na ana mimba ya huyo msela!
Kinachoshangaza ni kuwa bibie off-likizo ni siku 4, ya tano na sita jamaa kala mzigo, sasa ina maana mimba inaweza shika siku ya sita au soon baada ya kumaliza MP? I mean hata kabla ya siku ya 9 to 16 or 17? Au bibie kaamua kumuuzia kesi jamaa alee hiyo mimba?
NB: Hawakutumia kinga, hilo lipo wazi, plse tunaomba ushauri wenu wakuu wa haya masuala ya privacy!
Natangulisha shukrani za dhati.