Yakuza
Senior Member
- May 22, 2011
- 114
- 43
Wapendwa wana-JF
Ukweli ninajiuliza maswali mengi ata sipati mtu wa kunipa majawabu.
Leo hii:
1. CDM wameishateka mikoa ya Kanda ya Ziwa kwa maana ya Mara, Mwanza, Shinyanga na Kagera
2. CDM wameishamaliza kazi mikoa ya Nyanda za Juu Kusini, hususani mikoa ya Iringa na Mbeya
3. CDM walimaliza zamani homework yao mikoa ya Kanda ya Kaskazini hususani Arusha na Kilimanjaro
4. Kanda ya Mashariki haina kazi, kwa sababu ni mchanganyiko wa watu mbalimbali wengi wakitokea kanda nilizotaja hapo juu. Kwa lugha nyingine, mikoa ya Dar, Pwani na Morogoro kwa CDM naona kazi kwisheni....
5. Kanda ya Magharibi, kwa maana ya Kigoma, Tabora na Rukwa....nayo kazi almost kwisheni. Kigoma ni base ya Upinzani miaka nenda rudi. Kisiasa, kiuchumi, kijamii na kimaendeleo maeneo haya ndiyo Tanzania yetu.
6. Kanda ya Kati kwa maana ya Dodoma na Singida kaachiwa Mh. Tundu Lisu na mama. Kasi kwisheni pia.
7. CDM wamezama zaidi ktk shule za msingi, sekondari na vyuo. Katika vyuo vikuu walikuwa wamebakiza Mzumbe, huko moto unawaka tangu J'mosi wiki jana. Ninajua wanaelekea SUA....nako kwisheni.
Kikubwa zaidi, CDM kwa kujitolea kugharimia mazishi ya wananchi waliouawa na Serikali, ni hesabu ya ajabu, ninasema hesabu ya ajabu ndiyo! Walifanya hivyo hivyo Arusha....Ujumbe wa chuki dhiki ya Serikali polepole unaingia akilini mwa watanzania ktk kila kona ya nchi hii. Hii inawapelekea wananchi kutaka mabadiliko.........tutake tusitake......Kibaya au kizuri zaidi CDM wanasema hukana kulala mpaka kieleweke....:mod:
Haya yote yanishawishi kuendelea kujiuliza, hivi KWELI Mh. Rais ambaye pia ni M/Kiti wa CCM Taifa hayaoni haya. Mawaziri na washauri wake hawayaoni haya? Au wamekata tamaa?
Jiulize, mfano leo hii uitishwe uchaguzi mkuu, Mh. Nyambale Nyangwine anaweza kuomba kura kwa wananchi wa Nyamongo? Ni nani ktk CCM anaweza kwenda Nyamongo kumnadi mgombea wake?
Has CDM caused paralysis to Mr. President and the entire system? :smow:
Nisamehe: Mimi sina itakadi ktk chama chochote cha siasa hapa Tanzania. Ni mdau tu.
Ukweli ninajiuliza maswali mengi ata sipati mtu wa kunipa majawabu.
Leo hii:
1. CDM wameishateka mikoa ya Kanda ya Ziwa kwa maana ya Mara, Mwanza, Shinyanga na Kagera
2. CDM wameishamaliza kazi mikoa ya Nyanda za Juu Kusini, hususani mikoa ya Iringa na Mbeya
3. CDM walimaliza zamani homework yao mikoa ya Kanda ya Kaskazini hususani Arusha na Kilimanjaro
4. Kanda ya Mashariki haina kazi, kwa sababu ni mchanganyiko wa watu mbalimbali wengi wakitokea kanda nilizotaja hapo juu. Kwa lugha nyingine, mikoa ya Dar, Pwani na Morogoro kwa CDM naona kazi kwisheni....
5. Kanda ya Magharibi, kwa maana ya Kigoma, Tabora na Rukwa....nayo kazi almost kwisheni. Kigoma ni base ya Upinzani miaka nenda rudi. Kisiasa, kiuchumi, kijamii na kimaendeleo maeneo haya ndiyo Tanzania yetu.
6. Kanda ya Kati kwa maana ya Dodoma na Singida kaachiwa Mh. Tundu Lisu na mama. Kasi kwisheni pia.
7. CDM wamezama zaidi ktk shule za msingi, sekondari na vyuo. Katika vyuo vikuu walikuwa wamebakiza Mzumbe, huko moto unawaka tangu J'mosi wiki jana. Ninajua wanaelekea SUA....nako kwisheni.
Kikubwa zaidi, CDM kwa kujitolea kugharimia mazishi ya wananchi waliouawa na Serikali, ni hesabu ya ajabu, ninasema hesabu ya ajabu ndiyo! Walifanya hivyo hivyo Arusha....Ujumbe wa chuki dhiki ya Serikali polepole unaingia akilini mwa watanzania ktk kila kona ya nchi hii. Hii inawapelekea wananchi kutaka mabadiliko.........tutake tusitake......Kibaya au kizuri zaidi CDM wanasema hukana kulala mpaka kieleweke....:mod:
Haya yote yanishawishi kuendelea kujiuliza, hivi KWELI Mh. Rais ambaye pia ni M/Kiti wa CCM Taifa hayaoni haya. Mawaziri na washauri wake hawayaoni haya? Au wamekata tamaa?
Jiulize, mfano leo hii uitishwe uchaguzi mkuu, Mh. Nyambale Nyangwine anaweza kuomba kura kwa wananchi wa Nyamongo? Ni nani ktk CCM anaweza kwenda Nyamongo kumnadi mgombea wake?
Has CDM caused paralysis to Mr. President and the entire system? :smow:
Nisamehe: Mimi sina itakadi ktk chama chochote cha siasa hapa Tanzania. Ni mdau tu.