sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,408
- 19,032
Hata nikikaa kimya kwajili ya utaifa au kuwa shabiki wa diamond, ukweli inabidi unyooke, nyeupe iwe nyeupe na nyeusi iwe nyeusi, hakuna kupindisha, nisipo sema nani atasema??
ukiingia mtandao >> huu << , utaweza kujua muda ilipopandishwa video, tunaona ya kwamba video iliwekwa tarehe 30, november saa sita na dakika 17 mchana.
Kama video ilitoka tarehe 30 saa sita mchana basi siku ya saba iliisha jana tarehe 7 saa sita mchana
Usiku wa kuamkia leo Tarehe 8 mida wa takribani saa sita na robo usiku, video iligonga views milioni 10 kwa hio, kulingana na jedwali la hapo juu ni siku ya nane
USHAURI:
Diamond Platnumz na media wasahishe taarifa zao ili kuendana na ukweli
ukiingia mtandao >> huu << , utaweza kujua muda ilipopandishwa video, tunaona ya kwamba video iliwekwa tarehe 30, november saa sita na dakika 17 mchana.
Kama video ilitoka tarehe 30 saa sita mchana basi siku ya saba iliisha jana tarehe 7 saa sita mchana
Usiku wa kuamkia leo Tarehe 8 mida wa takribani saa sita na robo usiku, video iligonga views milioni 10 kwa hio, kulingana na jedwali la hapo juu ni siku ya nane
USHAURI:
Diamond Platnumz na media wasahishe taarifa zao ili kuendana na ukweli