johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,895
- 141,827
Ni kwamba CCM na Dkt. Magufuli tayari wana mtaji wa kura walizopata 2015 na watafaidika na kurejea kwa mzee Lowassa ambaye ana ushawishi mkubwa. Kura za CCM zitaongezeka.
CHADEMA na Tundu Lissu watazikosa kura za CCM ( kupitia Lowassa) walizopata 2015 kadhalika watazikosa kura za UKAWA yaani Cuf na Nccr mageuzi
ACT Wazalendo itavuna kura za CUF hasa mikoa ya Kusini na Zanzibar kadhalika itaambulia kura chache za CCM kutoka kijiji cha Londo jimboni Mtama.
Kwa mahesabu ya haraka Dkt. Magufuli tayari ana mtaji mkubwa wa kura ukilinganisha na wagombea wengine ambao wote ni wageni wa uchaguzi mkuu ukimtoa mzee Hashimu Rungwe Spunda.
Niishie hapo!
2020 hakunaga kama Dkt. Magufuli!
CHADEMA na Tundu Lissu watazikosa kura za CCM ( kupitia Lowassa) walizopata 2015 kadhalika watazikosa kura za UKAWA yaani Cuf na Nccr mageuzi
ACT Wazalendo itavuna kura za CUF hasa mikoa ya Kusini na Zanzibar kadhalika itaambulia kura chache za CCM kutoka kijiji cha Londo jimboni Mtama.
Kwa mahesabu ya haraka Dkt. Magufuli tayari ana mtaji mkubwa wa kura ukilinganisha na wagombea wengine ambao wote ni wageni wa uchaguzi mkuu ukimtoa mzee Hashimu Rungwe Spunda.
Niishie hapo!
2020 hakunaga kama Dkt. Magufuli!