Herufi R na L ni tatizo kwa Rais wetu, tumsaidie

Kwa hili namtetea. Wasukuma R na L ni janga. Kwa hili Rais mnamuonea.
umekosea kumtetea mimi ni msukuma pasee najua kutamka R NA L bila tatizo ndo mana nikasema fanya utafiti ujue chimbuko la alikotokea mpaka kuangukia kwa MZEE MAKUFULI na hatimae kumuita BABA
 
Unaongelea maada ipi?
Tunaongelea uchapiaji wa kuchanganya herufi wa MALAIKA MKUU.
Lini Magufuli akawa msukuma? Ebu niambie ukoo wa wazila nkende kwa Kisukuma wanapatikana wapi?
Tusidanganyane apa..inaeleweka vizuri watu wenye tatizo la R na L ni Wahaya.
MKUU humu kuna wadangaji wapo kumhalalisha MALAIKA MKUU kuwa ni mtanganyika kumbe ni wa kutoka kuleee kwenye mitutu mingi
 
Back
Top Bottom