Kitwa-Mulomoni
JF-Expert Member
- Oct 25, 2016
- 1,779
- 1,119
Ndiyo ni tatizo la kitaifa! Mfano utamsikia Mh. Halima Mdee na wenzake wanasema "kuna mambo ya HOVYO" Badala ya kusema "kuna mambo ya OVYO"! Pia utasikia karibu robo ya watanzania wakisema "NANILII"?? ¿?.Tatizo la kitaifa mbona.