Ukana Shilungo
JF-Expert Member
- Apr 17, 2012
- 3,041
- 2,422
WE MUONGO R KWENYE KISWAHILI IPO HIVYO SEMA WASUKUMA HAWAWEZI KUTAMKA !Wasukuma hawana R wanatumia L kwenye maneno yao mengi
USISEME HAIPO!😂
WE MUONGO R KWENYE KISWAHILI IPO HIVYO SEMA WASUKUMA HAWAWEZI KUTAMKA !Wasukuma hawana R wanatumia L kwenye maneno yao mengi
Lini Magufuli akawa msukuma? Ebu niambie ukoo wa wazila nkende kwa Kisukuma wanapatikana wapi?Mkuu hayo mambo ya kawaida sana, usukumani hizo herufi zinatamkwa the same, kwa maana nyingne msukuma aloiva hatumii kabisa R bali L na pia usukumani kwa kufata mila za kisukuma hakuna majina yenye herufi ya R bali majina yote yenye mlengo huo yanapoandika kisukuma huwa ni L tu...mfano Mayala, Malando, Kabula, Milembe, Magufuli nk, so kwa kisukuma hakuna R bali kuna L..
"mwabheja bhagosha"
Kwani Magu ni msukuma!?Mkuu hayo mambo ya kawaida sana, usukumani hizo herufi zinatamkwa the same, kwa maana nyingne msukuma aloiva hatumii kabisa R bali L na pia usukumani kwa kufata mila za kisukuma hakuna majina yenye herufi ya R bali majina yote yenye mlengo huo yanapoandika kisukuma huwa ni L tu...mfano Mayala, Malando, Kabula, Milembe, Magufuli nk, so kwa kisukuma hakuna R bali kuna L..
"mwabheja bhagosha"
Ni tatizo la kanda yote ya ziwa, kama wachaga S na Z zinasumbua pia!Wasukuma hawana R wanatumia L kwenye maneno yao mengi
Kutuhaibisha = KutuaibishaWasukuma na watu wa kanda ya ziwa wote hawajui matumizi sahihi ya R na L katika misamiati fasaha ya kiswahili,jiwe bhana anazidi kutuhaibisha waTanganyika
yaani hilo ndio jibu sahihi kabisa, unaweza kumsamehe mtu akokosea kutamka kwa ajili ya lugha zetu na sehemu uliyotoka lakini asilimia kubwa sana wanakosea katika kuandika tu sehemu ya L inawekwa R au kinyume ni tatizo la kitaifa kama ulivyosema. ukikosea kuandika tatizo kubwa zaidi inaonesha ndio uelewa wako huo kutamka unaweza ukapotezea kidogo.Tatizo la kitaifa mbona.
kuna katoto fulani kale kalikotaka kumfunga babayake kwa kuuza shamba la familia.. kalihojiwa na AYO kalitamka kuwa '' najjuwaa raisi wa Tanzania ni Magufuli... alakiniii... ni MURUNDIIII'' sasa sijui kamejuawaje.. ile lafudhi wanajuana mana haka katoto na kenyewe ni karundi kalikozaliwa tanzaniaNi dhahiri kabisa hizi herufi mbili za R na L zinamtatiza sana Raisi wetu, Mara nyingi ktk hotuba zake amekuwa akisikika kabisa kuzikosea yaani sehemu ambayo alitakiwa kutamka neno Reli, yeye atasema Leli, tena kwa kujiamini,. Ktk Msamiati wa kiswahili neno Leli Lina maana tofauti kabisa.
Ni Mara nyingi sana amekuwa akijichanganya kuhusu herufi hizi, kwa Sisi Watanzania tunamvumilia kwa sababu ni mtu wetu, lakini Tatizo linakuja pale tu anapokuwa nje ya Nchi ambapo inabidi aongee lugha ya Kimataifa, kwa English, penye Herufi R ukibadili na kuweka L, automatic huwa inabadili maana nzima ya unachozungumzia. Na wakati mwingine inaweza hata kuwa ni matusi makubwa. Niwaombe Tu Wahusika kwa Roho safi, Wajitahidi sana kumwelekeza namna nzuri ya kutumia hizi herufi ili Mara nyingine tusije kupata aibu Kama hii inayoendelea ktk mitandao huko Zimbabwe . Pls
mimi ni msukuma mbona naweza kutamka R au L je nimekosea hapo? tuambiane tu ukweli MAGU alikotokea ni wapi nani anajua hospitali aliyozaliwa hapa TANZANIA atutajie. alizaliwa lini mji upi.Wasukuma hawana R wanatumia L kwenye maneno yao mengi
Unapoongelea watu hasa public figures, waangalie kwa taaluma yao na upana wa mambo wanayoyafanya;Ni dhahiri kabisa hizi herufi mbili za R na L zinamtatiza sana Raisi wetu, Mara nyingi ktk hotuba zake amekuwa akisikika kabisa kuzikosea yaani sehemu ambayo alitakiwa kutamka neno Reli, yeye atasema Leli, tena kwa kujiamini,. Ktk Msamiati wa kiswahili neno Leli Lina maana tofauti kabisa.
Ni Mara nyingi sana amekuwa akijichanganya kuhusu herufi hizi, kwa Sisi Watanzania tunamvumilia kwa sababu ni mtu wetu, lakini Tatizo linakuja pale tu anapokuwa nje ya Nchi ambapo inabidi aongee lugha ya Kimataifa, kwa English, penye Herufi R ukibadili na kuweka L, automatic huwa inabadili maana nzima ya unachozungumzia. Na wakati mwingine inaweza hata kuwa ni matusi makubwa. Niwaombe Tu Wahusika kwa Roho safi, Wajitahidi sana kumwelekeza namna nzuri ya kutumia hizi herufi ili Mara nyingine tusije kupata aibu Kama hii inayoendelea ktk mitandao huko Zimbabwe . Pls
Sawa mkuu, nimekusoma , lakin nilichokiandika si umekifahamu ?? Hata Kama nimekoseawacha akutukane. Unaandikaje tena MZALAMO badala ya "MZARAMO". Unaonekana kama hujasoma vile! Unajilemaza makusudi bila kujua...
Haaa haaaWewe ni mzarendo kweri kweri
Hili unalolalamikia wewe unaona ni la msingi kweli na akili zako mbwa wewe r au l inakupunguzia nini ktk maisha yako?Praise team watakuja kumtetea. Wao kila jambo wanamtetea hata kama la kijinga.
pia english yake ni very poor ukimsikiliza alipokua malawi alitema broken english inayoaibisha mpaka unajiuliza phd aliandika namna gani na akafaulu?nadhani kwa kumpoteza ben saanane haikua suluhishoNi dhahiri kabisa hizi herufi mbili za R na L zinamtatiza sana Raisi wetu, Mara nyingi ktk hotuba zake amekuwa akisikika kabisa kuzikosea yaani sehemu ambayo alitakiwa kutamka neno Reli, yeye atasema Leli, tena kwa kujiamini,. Ktk Msamiati wa kiswahili neno Leli Lina maana tofauti kabisa.
Ni Mara nyingi sana amekuwa akijichanganya kuhusu herufi hizi, kwa Sisi Watanzania tunamvumilia kwa sababu ni mtu wetu, lakini Tatizo linakuja pale tu anapokuwa nje ya Nchi ambapo inabidi aongee lugha ya Kimataifa, kwa English, penye Herufi R ukibadili na kuweka L, automatic huwa inabadili maana nzima ya unachozungumzia. Na wakati mwingine inaweza hata kuwa ni matusi makubwa. Niwaombe Tu Wahusika kwa Roho safi, Wajitahidi sana kumwelekeza namna nzuri ya kutumia hizi herufi ili Mara nyingine tusije kupata aibu Kama hii inayoendelea ktk mitandao huko Zimbabwe . Pls
snPraise team watakuja kumtetea. Wao kila jambo wanamtetea hata kama la kijinga.
Sasa mtu mzima tena msomi wa PhD watu tuhangaike kumfundisha kutamka maneno kweli? Kama inalipa asaidiwe na wale walinzi wake wenye silaha nzito nzito za kivita, pmbavu😅Ni dhahiri kabisa hizi herufi mbili za R na L zinamtatiza sana Raisi wetu, Mara nyingi ktk hotuba zake amekuwa akisikika kabisa kuzikosea yaani sehemu ambayo alitakiwa kutamka neno Reli, yeye atasema Leli, tena kwa kujiamini,. Ktk Msamiati wa kiswahili neno Leli Lina maana tofauti kabisa.
Ni Mara nyingi sana amekuwa akijichanganya kuhusu herufi hizi, kwa Sisi Watanzania tunamvumilia kwa sababu ni mtu wetu, lakini Tatizo linakuja pale tu anapokuwa nje ya Nchi ambapo inabidi aongee lugha ya Kimataifa, kwa English, penye Herufi R ukibadili na kuweka L, automatic huwa inabadili maana nzima ya unachozungumzia. Na wakati mwingine inaweza hata kuwa ni matusi makubwa. Niwaombe Tu Wahusika kwa Roho safi, Wajitahidi sana kumwelekeza namna nzuri ya kutumia hizi herufi ili Mara nyingine tusije kupata aibu Kama hii inayoendelea ktk mitandao huko Zimbabwe . Pls
Na ikiwezekana Kama ameamua kuzungumza Kiswahili basi asichanganye na Kiingereza, kwa sababu huwa inasababisaha matatizo makubwa, kumbuka kuna wakati alitaka kusema."We are on the rite truck" lakini akakosea kutamka akasema, "we are on ze lite tlack, Kwani akiongea tu kiswahili fasaha kuna ubaya gani? Mbona Raisi wa wa China huwezi kumkuta popote akitamka neno lolote la Kiingereza!
Nadhani ujuaji pia unahusika mkuu!mtz huwa hajifunzi kituutamsikia tu "ukizaliwa mjini form 6"...hapo ndo ashajua yote.yaani hilo ndio jibu sahihi kabisa, unaweza kumsamehe mtu akokosea kutamka kwa ajili ya lugha zetu na sehemu uliyotoka lakini asilimia kubwa sana wanakosea katika kuandika tu sehemu ya L inawekwa R au kinyume ni tatizo la kitaifa kama ulivyosema. ukikosea kuandika tatizo kubwa zaidi inaonesha ndio uelewa wako huo kutamka unaweza ukapotezea kidogo.